Ulevi na uadilifu wa ndoa....

najua hakuna kitu kirahisi ktk maisha,kila kitu ni kigum ,hata dating pia ni ngum tena sana lkn pia usikubali kila kitu ni kigumu kwakuwa ni kigumu,unaweza ukawa ni mtu pekee wa kufanya kitu kigum kuwa chepesi,najua sijafika huko na ugum uko sana lkn tukiachana na ndoa za sasa za ku copy na kupaste,bado kuna ndoa nyingi zilizopitia ugum zaidi ya hii ya mlevi,na bado wanapendana,heshimiana na kuonekana ni vijana yappo ni wazee,wazazi wetu walipitia meeeengi magum lkn walifika walipotaka kufika,kila kitu ni uvumilivu,na upendo daima,lakini Mungu ni mweza ya yote hasa ukumshirikisha ktk hili,ulitaka wapigane na kuwekana makovu zaidi?Mume mwema hutoka kwa bwana kama Mungu ataniletea mlevi naamini anamakusudi na mm ya kumbadilisha si asiwe mlevi bali awe mnywaji kiasi.
 
ha ha ha ha!
aisee hivi huyo kiumbe yupo?
mwambie habbarr ake banaaaaaaaaa

poleni kwa mikasa ya jana....!nacikia mlijikoki kwel kwel had jamaa yangu dah!....
Noma........acha kabaisa! tulihamia kwenye amarula +nyagi, then tikila mbaya!!
 
Hebu m :A S 101:
kama mesej hazijibiwi,izo simu je?
kuna kitu we dogo utakuwa umeharibu.....!
sisi kama wapwaaz TUTATOA TAMKO NA MSIMAMO WETU juu ya hayo yaliyotokea
 
kama mesej hazijibiwi,izo simu je?
kuna kitu we dogo utakuwa umeharibu.....!
sisi kama wapwaaz TUTATOA TAMKO NA MSIMAMO WETU juu ya hayo yaliyotokea

Orait...go ahead....ila at least i got clean hands on this...
 
Orait...go ahead....ila at least i got clean hands on this...
wewe ni kama NYEPESI_KABUEEEEE kwenye chama,
enewei hii inaweza kuwa sababu nyingine ya kukutana
 
wewe ni kama NYEPESI_KABUEEEEE kwenye chama,
enewei hii inaweza kuwa sababu nyingine ya kukutana
Hawezi kuamua kufanya anachotaka tu, wakati anajua kina-impact kwa ordinary citizen.
 
Hawezi kuamua kufanya anachotaka tu, wakati anajua kina-impact kwa ordinary citizen.
muheshimiwa spika naunga mkono hoja....

MWANANCHI WA K AWAIDA NDO ANAEUMIA!
by the way:leo ni pale pale pa jana!ijumaa hii bana...PLEASE COPY TO ALL
 
wewe ni kama NYEPESI_KABUEEEEE kwenye chama,
enewei hii inaweza kuwa sababu nyingine ya kukutana

Hadi MMU kuna spin doctors? Kukutana.....pafekt..
 
muheshimiwa spika naunga mkono hoja....

MWANANCHI WA K AWAIDA NDO ANAEUMIA!
by the way:leo ni pale pale pa jana!ijumaa hii bana...PLEASE COPY TO ALL

Naonewa sana, nadhalilishwa sana...
 
hehehe!kijana lazima tukujadili wewe......!

unapunguza wanachama kwa kujichukulia madaraka mkononi

Nabambikiwa kesi kwa masilahi binafsi.....
 

hapo inabidi mamsapu awe mpole sana kesi tutazungumza kesho nikiwa nimesahau kabisa yaliyojiri otherwise akileta ubishi naweza mtoa reception yote
 
kazin lazima umemchapa mpango mzima kibao jana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…