Uli deal vipi na rafiki aliewahi kukusaliti ? mkikutana kuna salamu au maongezi ?

Uli deal vipi na rafiki aliewahi kukusaliti ? mkikutana kuna salamu au maongezi ?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Nilikutana na usaliti kutoka kwa rafiki, anaongea shit kuhusu mafanikio yangu.

nilijitenga naye kwa muda (kumpa space)

aliniomba msamaha mara kadhaa, nikachukua muda wa kutafakari nikampa nafasi ya pili,

Lakini akarudia usaliti wake,

Nilim face macho kwa utosi nikamwambia hana utofauti na nyoka.

Tangu 2014 hatujawahi kuzungumza,

Tuliwahi kukutana ila aliongeza mwendo macho mbele

nilichojifunza, usifunguke sana mafanikio yako mbele ya marafiki hasa wale uliowapiga gap
 
Stronger together , forgive but don't forget
 
Nilikutana na usaliti kutoka kwa rafiki, anaongea shit kuhusu mafanikio yangu.

nilijitenga naye kwa muda (kumpa space)

aliniomba msamaha mara kadhaa, nikachukua muda wa kutafakari nikampa nafasi ya pili,

Lakini akarudia usaliti wake,

Nilim face macho kwa utosi nikamwambia hana utofauti na nyoka.

Tangu 2014 hatujawahi kuzungumza,

Tuliwahi kukutana ila aliongeza mwendo macho mbele

nilichojifunza, usifunguke sana mafanikio yako mbele ya marafiki hasa wale uliowapiga gap
Nilikuwa na rafiki nikamribisha home,akawa kama ndugu yangu,matokeo yake nikiwa nimekunywa farujohn anajitapa kwa mademu wake kwamba nyumba yangu ni ya mjomba wetu!Mimi haniamini mjomba ila yeye ndio Maana anafunguo za nyumba Yeye Nilichukua funguo kimyakimya na kumrudisha kwao na kumwambia nitamtumia nauli ya kuja Tena maxima Toka 2010.
 
Back
Top Bottom