Nilirithi mkuu.Sikutoa hata jasho.Na kwa sababu nilijua kuendesha tangu kitambo nikajisikia poa tu.Kwa wale wenye usafiri mtupe mbinu, je mlianza anzaje kumiliki chombo chako cha usafiri?
Siku ya kwanza kumiliki ulijisikiaje?
Unaanza kuwa na hela ya kutosha kununua ndio unaimiliki. Vinginevyo uhongwe au urithi.Kwa wale wenye usafiri mtupe mbinu, je mlianza anzaje kumiliki chombo chako cha usafiri?
Siku ya kwanza kumiliki ulijisikiaje?
Picha ya hiyo baiskel tafadhariNilipita sehemu nikakuta wanauza vibaiskeli vingi,nikawaza hivi na hii corona nikinunua kibaiskeli, si nitakuwa nimeondokana na misongamano ya kwenye daladala kwenye trip fupifupi za mjini lakini nitakuwa nafanya mazoezi pia.
Nikaona inawezekana, nikamuuliza muuzaji bei akaniambia anauza laki mbili na ishirini, nikaomba punguzo tutakubaliana laki mbili nikamlipa nikaondoka na usafiri wangu. Hivyo tu.
Safi sanaNilipita sehemu nikakuta wanauza vibaiskeli vingi,nikawaza hivi na hii corona nikinunua kibaiskeli, si nitakuwa nimeondokana na misongamano ya kwenye daladala kwenye trip fupifupi za mjini lakini nitakuwa nafanya mazoezi pia.
Nikaona inawezekana, nikamuuliza muuzaji bei akaniambia anauza laki mbili na ishirini, nikaomba punguzo tutakubaliana laki mbili nikamlipa nikaondoka na usafiri wangu. Hivyo tu.
Hakika sitaki kusema namiliki ndinga kali wakati hata baiskeli sijawahi kumiliki, sina gari ila pia hata siku nikinunua naogopa kudrive😂 vipi wewe my Hommie una gari ngapi?🤪Msema kweli mpenzi wa Mungu [emoji3][emoji3]
You're missed too grandson! Za sikuuMekumith
Furaha ni kummliki bibi...You're missed too grandson! Za sikuu