Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 756
Aisee.
Mimi mpaka sasa ni miaka 29 imeshanipotea katika umri wangu na sijui kuendesha sio gari tu hata pikipiki siwezi. Kwetu hatukuwa/hatuna gari labda baiskeli ya matairi mawili (Phoenix) Sikuwa na rafiki, jamaa Wala ndugu ambaye alikuwa na kipando chombo cha moto miongoni mwa vyombo vya moto.
Kwasasa, naona kuna umuhimu wa kujifunza udereva kwasababu naona nina uhitaji/umuhimu wa chombo cha moto (sio birika la kahawa lakini). Najua wewe /huyo/yule ni mtoto wa kishua gari ilikuwa home kwao (kwenu)
Swali: Ulijua/ulianza kuendesha gari ukiwa na umri gani na wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mpaka sasa ni miaka 29 imeshanipotea katika umri wangu na sijui kuendesha sio gari tu hata pikipiki siwezi. Kwetu hatukuwa/hatuna gari labda baiskeli ya matairi mawili (Phoenix) Sikuwa na rafiki, jamaa Wala ndugu ambaye alikuwa na kipando chombo cha moto miongoni mwa vyombo vya moto.
Kwasasa, naona kuna umuhimu wa kujifunza udereva kwasababu naona nina uhitaji/umuhimu wa chombo cha moto (sio birika la kahawa lakini). Najua wewe /huyo/yule ni mtoto wa kishua gari ilikuwa home kwao (kwenu)
Swali: Ulijua/ulianza kuendesha gari ukiwa na umri gani na wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app