Aisee.
Mi mpaka sasa Ni miaka 29 imeshanipotea katika umri wangu na sijui kuendesha sio gari tu hata piki piki siwezi.
Kwetu hatukuwa/hatuna gari labda baiskeli ya matairi mawili (Phoenix)
Sikuwa na rafiki, jamaa Wala ndugu ambaye alikuwa na kipando chombo cha Moto miongoni mwa vyombo vya moto.
Kwasasa
Naona Kuna umuhimu wa kujifunza udereva kwasababu naona Nina uhitaji/umuhimu wa chombo cha moto (sio birika la kahawa lakini)
Najua wewe /huyo/yule Ni mtoto wa kishua gari ilikuwa home kwao (kwenu)
Swali!
Ulijua/ulianza kuendesha gari ukiwa na umri gani na wapi?
Sent using
Jamii Forums mobile app