Ulianza mapenzi ukiwa na umri gani?

Huu mwaka we need only constructive post

Kawaadithie ndugu zako hizi story za kitoto na kipuuzi.
 
Mbona kama unajivunia kuanza mapenzi mapema mkuu?
 
Huyu toka mwanzo alisema nimuite dada bana...
Kipindi hiko kundi lao alikua yeye, coca na bichwa😁😁😁

Ila daaah mybe ngoja tuone maana
Hujamwambia km wewe kibenten cha bichwa komwe? 😹😹
 
Huyu toka mwanzo alisema nimuite dada bana...
Kipindi hiko kundi lao alikua yeye, coca na bichwa😁😁😁

Ila daaah mybe ngoja tuone maana
πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Nyie watoto mna mambo ya kishamba sana. Ulishindwa kusimulia story bila kutaja jina. Ukaona haitoshi umetaja majina yote matatu.
hujioni kama una ushamba flani hivi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…