granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Muonjeshe uone ufundi wake weweKatoto hako kanajua km mimi dada yake..!!
Shem nawe umenichoka sasa khaaa.!! Hao km kina mshamba hachekwi vinanuka maziwa πΉ
Muache bichwa wa watu yupo kuleaHujamwambia km wewe kibenten cha bichwa komwe? πΉπΉ
Sema mi sinuki maziwa..Katoto hako kanajua km mimi dada yake..!!
Shem nawe umenichoka sasa khaaa.!! Hao km kina mshamba hachekwi vinanuka maziwa πΉ
Wee jamaa usipoingia peponi ntapiga keleleMuonjeshe uone ufundi wake wewe
weusi tii, sura ngumu kama ya king kongπΉπΉπΉ
Mi wanaume soft soft sio mambo zangu, nawapenda mashindikanaa bad boys..!!
πΉπΉπΉ Ewaaaahweusi tii, sura ngumu kama ya king kong
kwahiyo mshamba hapa nafasi anayo?πΉπΉπΉ Ewaaaah
Mkuu u love to stress yourself right?hadithi za kijingajinga kama hizi hazina nafasi humu 2025 vijana wake up acheni upuuzi
huwez kuendekeza ujinga kwa kujifarijiMkuu u love to stress yourself right?
ndio akili za walevi hizi wala usishangae ndio adhari za visungura mitaanihadithi za kijingajinga kama hizi hazina nafasi humu 2025 vijana wake up acheni upuuzi
Mtuache bana ππππππndio akili za walevi hizi wala usishangae ndio adhari za visungura mitaani