Mafundi wengine utopolo. Wana rahisisha mambo wakati hata wao hizo nyumba hawana.Na zaidi.
trueNyumba ya Kwanza unajifunza mengi. Zinazofuata hamna wa kukudanganya.
Ni kweli kabisaNyumba ya Kwanza unajifunza mengi. Zinazofuata hamna wa kukudanganya.
Ni sawa na kumiliki gari, gari la kwanza linapurusa sana ila yanayofuatia unakuwa unajua mengi sana.Nyumba ya Kwanza unajifunza mengi. Zinazofuata hamna wa kukudanganya.
Sio mbaya ulidhubutu,mbaya ungekata tamaaSiku moja rafiki yangu alinitembelea nilipokuwa nimepanga one bedroom apartment. Akaniuliza Kodi bei gani nikamjibu. Akaniambia kwenye kile kiwanja chako hii unajenga Kwa 10m! Jamaa ni mkandarasi mkubwa.
Nikamwambia unatania akaniambia hii ndio kazi yangu najua ninachosema. Nikamuuliza ya vyumba viwili he? Akasema inaongezeka kidogo labda 15m!
Tangu siku hio nikaamua kujenga hio ya vyumba viwili and the rest is history. Apart kuwa na kipato pia unahitaji information na kufanya maamuzi nyingine mbwembwe.
Btw nilinogewa nikajikuta najenga hio ya vyumba viwili Kwa bajeti mara mbili ya makadirio alionipa!
Sio lazima ukubaliane na ninachoandika. Nilifikiri unauliza ili upate chochote kaa na negativity yako. I deleted all my postsUmeanza vizuri Ila hapo kwenye 30M vyumba viwili hapo ndo tatizo[emoji16][emoji16]
Wapo wengi wa aina hii, ni wa kuwakacha wabaki na mawazo yao boss.Sio lazima ukubaliane na ninachoandika. Nilifikiri unauliza ili upate chochote kaa na negativity yako. I deleted all my posts
hahahaI deleted all my posts