Ulianzaje kukaa gheto?

Nilianza kukaa ghetto nilipoanza mwaka wa kwanza chuo. Na sitegemei kurudisha mpira kwa kipa unless nitingwe sana na sio kwamba nitarudi nitaomba support tu. Now mwaka wa pili kati ya minne na nategemea mwezi ujao nijaribu maisha ya kilimo niko na mwanangu wa UD pale tulikua KJ kimooja tumeona tujaribu.
 
Big up kaka...ukianza mapema kukaa zako geto...inakua poa sana....kwa kipa usithubutu mkuu...utapata tabu sana ukijarbu [emoji16]
 
Daaaah!! mwanzo mgumu kinomaaa nakumbuka toka form one nlikaaa bweni... nmemalza four nkafaul then nkaenda shul singida napo n bwen yan ugali maharage daily na kulal kweny madeka ofcoz niliyachukia san maisha ya kukaa bwen ilifk point nilitaman hata nkae day lakin n mkoa w watuu ntakaa kwanan ikabd nkomae lkn nlichukia maisha ya bweni na still now nayachukia huw najskia vibay nnavyoona madeka sehem. bas nkafankiw kumlza six ile nmerud hom paap kwamujib washeria hii hap ndio nlichok kabsa nkaend mzee n doso lakufa mtuuu nilzd kuchukia tuu maisha na niliapa nkifk chuo hat km kun hostel ctakaa hostel mm acha nkatesek gheto bas nakumbk tokeo lilitk tukaruhusiw tukafany application then nkafany nkarud ili nichukue gamba langu at the end course ikaish nkarud hom nkaa kidg then nkawa nmeend chuo xx ile nmefk nmeambiw hom nkalipe ada ya hostl il nmefk chuo nafany registration siku yakwanz nkakutn na jamaa nlisom nae o-level bas nkamshawsh tukaend tafta room mtaan akatoa kod ya miez mi3 na mm m3 tukaend sokon tuknunua godoro, nakumbuk jiko la mchina na baadh ya vyomb na mashuka kam dhal maish yakaanza sahyo hom wanajua nakaa hostel yaan dah sitasahau nlichukulia maish ya gheto n normal but ikfk kipnd sna hela wal nn aseee sitasahau nilishnda siku 3 kwakunywa kandoro na skonz bas nkapat hel kam kawaid boom nkamwambia rafk ang tununue mazag ya ndan akazngua akasem hatujaj kutalii mjin hp tuish kigum nliumia san coz nilijua anahela af tukichanga tungenunua ht kitanda nilishkwa na hasr nkaenda hel nkanunua mwenyew kitanda 150, 5×6 nkanunua mtung mdgo wa ges nkachukua nafen bas nkalet ghetooo jamaa akafurah knoma noma life likasongaa jpo nlishkw na hasra jamaa amekataa kuchangia af anapkia ges yang ila ndiohvy aliku mwana wang tukaendelea kuish kibsh maish hvyo hvy sku mnadaiw hela ya umem tunaend kweny ghet la masel tunakaa ht cku mbl tukipt hel tunarud daah hvyohvy sem jamaa alikua hatk kuskia kuchangia kunua vtu vya ghet ye hel ake n nguo na bata kam loteee bas nkajkz nkaendelea nunua vtu vdg vdg wakt namalza semistr nkanunua redia 250 spk sita sony nkaipak ghet jamaaa ananiangalia tu anasem nkimlza tu chuo ntaviuz kwa bei y hasarbas nkarud hom lkzo.....
 
Yani huo ndo ubaya wa kuishi na msela,[emoji850]kufanya maendeleo unachelewa
Kukaa kutegemeana
 
Its like I was watching a movie, dah! Hongera sana kijana...
 
Ndio shida ya kukaa na mtu geto
 
Kwaio ushapata kazi saizi sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…