SafiWeekend njema Ladies & Gentlemen.View attachment 2271460
Mzeya nikodishe ghetto lako kwa wikend nikaenjoy na mawardat hapoWeekend njema Ladies & Gentlemen.View attachment 2271460
Ulinunua pesa ngapi?Android lakini
Weekend njema Ladies & Gentlemen.View attachment 2271460
Safi kabisa....sasa hapa mawardat alete sababu nyingine ya mie kutokupapasa tako skonsi🤣🤣🤣🤣 maana gheto ndio lilishapatikana[emoji28]...karibu sana mkuu, nitakuachia uvimbe nalo hata week nzima
Mpra wa moto
Upo sahihi mkuu, huo mzigo ndio bei yake SAMSUNG UHD SERIES 4K[emoji109]1,300,000
Ni kwamba umezirudisha hizo kitu au picha ya muda?View attachment 2271576
Time,music and games[emoji846]
Lodge haina raha bwana...mie nataka tukodi hilo ghetto wikend nakununulia mazagazaga yote....so nakula chakula na namkula mpishi mwenyewe🤣🤣🤣🤣Lodge 20000 tu,wacha kuazima,
Unawakamuliaga wapi?
Kuna single za kuanzia 20k mpaka 70k kutegemeana na aina ya room. Chumba na sebule unapata kwa 50k na kuendelea.Wenyeji wa mbeya
Naombeni mnipe muongozo,bei ya vyumba,
[emoji1545][emoji1545]Kuna single za kuanzia 20k mpaka 70k kutegemeana na aina ya room. Chumba na sebule unapata kwa 50k na kuendelea.
Mbalizi huko single zipo hadi za 15k huku chumba na sebule unachukua hadi kwa 30k.
Kipi kinakifanya usitoke?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] huu uzi unanitia hasira nilipanga 2020 mwaka jana nkardsha mpra kwa kipa mpk leo sijatok tena home kuna kamsukumo flani kananizuia kutoka sjui kwann mniombee jaman ila kila kitu kuanzia kodi nnayo had jela ya godoro jipya ishu kutoka t ndo kipngele kwangu
Ni kwamba umezirudisha hizo kitu au picha ya muda?
🤣🤣🤣🤣Wee wacha mpira ukae kwa kipa kwanza...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] huu uzi unanitia hasira nilipanga 2020 mwaka jana nkardsha mpra kwa kipa mpk leo sijatok tena home kuna kamsukumo flani kananizuia kutoka sjui kwann mniombee jaman ila kila kitu kuanzia kodi nnayo had jela ya godoro jipya ishu kutoka t ndo kipngele kwangu
SpikaKitu gani hizo mama angu?