uvivu tu mkuu..Kwamba una ratiba ngumu kiasi hicho?
Tisha sana mkuu [emoji119]Wakuu nina mengi ya kusimulia jamvini ttzo mwandiko mbovu,, nitaeleza Kwa kufupisha,,,,
Ukiamini Mungu na kuishi kwa Imani huku ukijituma Kwa nguv zote baraka utaziona.
Nilipo yaanza maisha rasimi baada ya kumaliza masomo yangu, safari yangu ilianzia Dodoma, sina ndugu nilifikia Kwa Wana walionitangulia kumaliza nashkuru walinipokea vzr tukaishi japokuwa baadhi ya changamoto nilipitia zisizo na maumivu kwani nilikua napata wakt mgumu pale mwana akija demu wake kitu ambacho kilitia uchachu wa kufight nikapange kwangu.
Nilitoka mbali na home wazaz wakiwa hawataki ila vile nilkua nishajiapia baada ya kumaliza chuo lazima nitoke mbali na home Kwa ajili ya kutafuta maisha,, nilifanya kama nilivyojipangia tangu nasoma,, wakati nakalibia kumaliza chuo miezi ya mwishoni mpenz wangu alibeba ujauzito wangu ikawa mkazo wa me kuwa mbali.
Mama mtu akabless me kutoka Kwa ajili ya kutafuta ili tuje tuishi wote. Nimeseto Kwa Wana Kwa miez 4 muda huo najitafuta katika ofsi flan hapa dodoma.
Mpka Sasa naandika ushuhuda huu nipo kwangu nilipo panga naishi na Mke wangu pamoja na mtoto wetu, life liko good kiasi Kila hitaji tunapata, kwa uweza wa M/Mungu mwakani tunahamia kwetu.
Nilicho jifunza kwenye maisha usiogope mtangulize Mungu katika kila jambo lako fanya kazi Kwa bidii mmbo yanajipa yenyewe,,,, zingatio Kwa sisi vijana wanawake Wana nguvu kubwa sana haswa ukimpata ambaye anajielewa na aliyetayari kufanya maisha katika kila hali.
Vilivyo Anza mpaka now,,, vijana tusikate tamaa Mungu sio wa kabila moja. View attachment 2389183View attachment 2389186View attachment 2389196View attachment 2389197View attachment 2389199View attachment 2389204
Umeupiga mwingi mkuuWakuu nina mengi ya kusimulia jamvini ttzo mwandiko mbovu,, nitaeleza Kwa kufupisha,,,,
Ukiamini Mungu na kuishi kwa Imani huku ukijituma Kwa nguv zote baraka utaziona.
Nilipo yaanza maisha rasimi baada ya kumaliza masomo yangu, safari yangu ilianzia Dodoma, sina ndugu nilifikia Kwa Wana walionitangulia kumaliza nashkuru walinipokea vzr tukaishi japokuwa baadhi ya changamoto nilipitia zisizo na maumivu kwani nilikua napata wakt mgumu pale mwana akija demu wake kitu ambacho kilitia uchachu wa kufight nikapange kwangu.
Nilitoka mbali na home wazaz wakiwa hawataki ila vile nilkua nishajiapia baada ya kumaliza chuo lazima nitoke mbali na home Kwa ajili ya kutafuta maisha,, nilifanya kama nilivyojipangia tangu nasoma,, wakati nakalibia kumaliza chuo miezi ya mwishoni mpenz wangu alibeba ujauzito wangu ikawa mkazo wa me kuwa mbali.
Mama mtu akabless me kutoka Kwa ajili ya kutafuta ili tuje tuishi wote. Nimeseto Kwa Wana Kwa miez 4 muda huo najitafuta katika ofsi flan hapa dodoma.
Mpka Sasa naandika ushuhuda huu nipo kwangu nilipo panga naishi na Mke wangu pamoja na mtoto wetu, life liko good kiasi Kila hitaji tunapata, kwa uweza wa M/Mungu mwakani tunahamia kwetu.
Nilicho jifunza kwenye maisha usiogope mtangulize Mungu katika kila jambo lako fanya kazi Kwa bidii mmbo yanajipa yenyewe,,,, zingatio Kwa sisi vijana wanawake Wana nguvu kubwa sana haswa ukimpata ambaye anajielewa na aliyetayari kufanya maisha katika kila hali.
Vilivyo Anza mpaka now,,, vijana tusikate tamaa Mungu sio wa kabila moja. View attachment 2389183View attachment 2389186View attachment 2389196View attachment 2389197View attachment 2389199View attachment 2389204
50 000 kilo Moja na nusu hata kilo mbili unaweza kupata.Oya wanangu wapambanaji hivi rice cooker bei gani?? Cheap Kama Kuna mwenye connection plz
Big up sana braza.Kanuni namba moja katika maisha yangu kuhusu ghetto ni kutomruhusu mtu mwingine atumie kusex na manzi ake. Sijawahi na washkaji wote walinielewa kuhusu hilo.
Ahhhh acha nicheke.Kitu inauma sana hio mkuu,afu kuna ile mwana kaja kujishikiza kishikaji tu afu unaona siku zinatembea tu yupo hachangii chochote na wala hana mpango wa kusepa
Ahhh ununue Tv tena,mwisho wa siku atakuambia ununue sofa lako uliekee ndani la kwake umuachie.Ahsante[emoji3059]
Mie bi mkubwa kaniambia ninunue Tv yangu niweke chumbani kwangu[emoji16][emoji16]
TV yake nimuachie[emoji16][emoji16]
Akufukuzae hakuambii toka eti eeeh[emoji16]
Pamoja sana mkuu,acha tu fight mambo yawe fresh.Wakuu nina mengi ya kusimulia jamvini ttzo mwandiko mbovu,, nitaeleza Kwa kufupisha,,,,
Ukiamini Mungu na kuishi kwa Imani huku ukijituma Kwa nguv zote baraka utaziona.
Nilipo yaanza maisha rasimi baada ya kumaliza masomo yangu, safari yangu ilianzia Dodoma, sina ndugu nilifikia Kwa Wana walionitangulia kumaliza nashkuru walinipokea vzr tukaishi japokuwa baadhi ya changamoto nilipitia zisizo na maumivu kwani nilikua napata wakt mgumu pale mwana akija demu wake kitu ambacho kilitia uchachu wa kufight nikapange kwangu.
Nilitoka mbali na home wazaz wakiwa hawataki ila vile nilkua nishajiapia baada ya kumaliza chuo lazima nitoke mbali na home Kwa ajili ya kutafuta maisha,, nilifanya kama nilivyojipangia tangu nasoma,, wakati nakalibia kumaliza chuo miezi ya mwishoni mpenz wangu alibeba ujauzito wangu ikawa mkazo wa me kuwa mbali.
Mama mtu akabless me kutoka Kwa ajili ya kutafuta ili tuje tuishi wote. Nimeseto Kwa Wana Kwa miez 4 muda huo najitafuta katika ofsi flan hapa dodoma.
Mpka Sasa naandika ushuhuda huu nipo kwangu nilipo panga naishi na Mke wangu pamoja na mtoto wetu, life liko good kiasi Kila hitaji tunapata, kwa uweza wa M/Mungu mwakani tunahamia kwetu.
Nilicho jifunza kwenye maisha usiogope mtangulize Mungu katika kila jambo lako fanya kazi Kwa bidii mmbo yanajipa yenyewe,,,, zingatio Kwa sisi vijana wanawake Wana nguvu kubwa sana haswa ukimpata ambaye anajielewa na aliyetayari kufanya maisha katika kila hali.
Vilivyo Anza mpaka now,,, vijana tusikate tamaa Mungu sio wa kabila moja. View attachment 2389183View attachment 2389186View attachment 2389196View attachment 2389197View attachment 2389199View attachment 2389204
Nunua π€£π€£ ndio uwe unaspend muda mwingi room kwako..Ahsante[emoji3059]
Mie bi mkubwa kaniambia ninunue Tv yangu niweke chumbani kwangu[emoji16][emoji16]
TV yake nimuachie[emoji16][emoji16]
Akufukuzae hakuambii toka eti eeeh[emoji16]
Lakn pia tukumbuke kwamba "UKIMWI UPO NA UNAUA"Hints , men tunaoishi ghetto / apartment , TUNAOSUBILI JIONI HII , UGENI WA WAREMBO WAZURI KWA AJIRI YA KUWA NYANDUA IJUMAA HII , NA WEEKEND HII YOTE GONGA LIKE HAPO CHINI TWENDE SAWA ,
We jamaa ni mtu makini sana.Hapana mkuu, hiyo kuonesha tu post inahusu geto. Najua saiz umetulia geto tu apo mkuu.
Yaani[emoji23][emoji23][emoji23]. Nilinunua king'amuzi nikipendacho kaniambia ninunue na Tv yangu[emoji16]Ahhh ununue Tv tena,mwisho wa siku atakuambia ununue sofa lako uliekee ndani la kwake umuachie.
Nipo na mpango huo[emoji16]Nunua [emoji1787][emoji1787] ndio uwe unaspend muda mwingi room kwako..
Kwa wazazi au umepanga?Wadau hii changamoto ya kufungiwa geti nyie hamkutani nayo!??..yan saa mbili tu tayari hawa mademu washalock geti,nimemind kichizi hawa mademu lakini hawaelewi,sasa hivi nimelala Kwa demu wangu ila pale gheto nimegonga sana geti,nimewapigia sana simu wanakaushia..hii nyumba mwezi wa 12 sitoboi lazima nihame
Nimepanga,yaani saa mbili tu tayari..afu sio mara Moja,sometimes nawaambiaga geti msifunge nitachelewa kidogo kurudi..nikirudi nakuta wameshalock..naanza kutafuta kwa kulalaKwa wazazi au umepanga?
Hama hapo,wanakufanyia kusudiNimepanga,yaani saa mbili tu tayari..afu sio mara Moja,sometimes nawaambiaga geti msifunge nitachelewa kidogo kurudi..nikirudi nakuta wameshalock..naanza kutafuta kwa kulala
Nimeshtuka,novemba hii lazima nisepeHama hapo,wanakufanyia kusudi
Kama vipi wakugawie funguo ya geti kama wanaona shida kukufungulia,Nimepanga,yaani saa mbili tu tayari..afu sio mara Moja,sometimes nawaambiaga geti msifunge nitachelewa kidogo kurudi..nikirudi nakuta wameshalock..naanza kutafuta kwa kulala
Ukute kuna mpangaji mmoja anajifanya kama mwenye nyumba.Nimeshtuka,novemba hii lazima nisepe