Hongera sanaSiku mbili baada ya kupanga [emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2403273
Huko sijawahi kukaa zaidi ya siku moja,napitaga tu.Hivi kwa Tunduru biashara gan inalipa..?
MTU tatu kwa usiku,asubuhi/mchana mie na kuku tu,Mbona hicho chakula ni cha watu zaidi ya 6? Au unakula suku ngapi hicho?
Godoro lenye ujazo napenda[emoji3059],,hapo ukijichanga ukipata kitanda kutanoga.Siku mbili baada ya kupanga [emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2403273
Yeah Mkuu tuombee uzima aiseeeGodoro lenye ujazo napenda[emoji3059],,hapo ukijichanga ukipata kitanda kutanoga.
Utafika tu endelea kupambana ,
Smart one 👏🏾Siku mbili baada ya kupanga [emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2403273
Safi sana....hapo jichange tu ubadili hilo paziaSiku mbili baada ya kupanga [emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 2403273
Pole sana…Wadau wa ghetto hamjambo? Mimi nilianza maisha ya ghetto mwezi wa 5 mwaka huu.Naishi maeneo ya uswahilini sana.Sasa jana wakati narudi kutoka kwenye mishe zangu nikakuta nimeibiwa hela.Ni shilingi elfu hamsini tu, kiukweli ni hela ndogo sana lakini ninavyoipata kwa shida inasababisha iniume kwa kweli.Kitu kibaya zaidi wakati naanza maisha ya ghetto bi mkubwa alinionya sana kuweka hela cash chumbani nilipopanga .
Kuweka hela ndogondogo kwenye simu naona ni usumbufu haswa pale inapokatwa wakati wa kutoa. Inaniuma sana yani nimeingia kanisani huku nina kinyongo.
Muwe na Jumapili njema.
Asante mkuuPole sana…
Me nikitoa laki 1, 40 kwenye wallet, 20 m pesa, 40 nyingine naitunzia ofisini kwenye droo.
Siweki hela nyumbani
Pole sana mi heka naweka geto ila mpka upajue jua umehangaika sana maana hata m mwenyew kuna tyme huwaga nasahau nimeweka waPi[emoji16][emoji16]Wadau wa ghetto hamjambo? Mimi nilianza maisha ya ghetto mwezi wa 5 mwaka huu.Naishi maeneo ya uswahilini sana.Sasa jana wakati narudi kutoka kwenye mishe zangu nikakuta nimeibiwa hela.Ni shilingi elfu hamsini tu, kiukweli ni hela ndogo sana lakini ninavyoipata kwa shida inasababisha iniume kwa kweli.Kitu kibaya zaidi wakati naanza maisha ya ghetto bi mkubwa alinionya sana kuweka hela cash chumbani nilipopanga .
Kuweka hela ndogondogo kwenye simu naona ni usumbufu haswa pale inapokatwa wakati wa kutoa. Inaniuma sana yani nimeingia kanisani huku nina kinyongo.
Muwe na Jumapili njema.
Hadi wewe unasahau tena.Pole sana mi heka naweka geto ila mpka upajue jua umehangaika sana maana hata m mwenyew kuna tyme huwaga nasahau nimeweka waPi[emoji16][emoji16]
AnkoShukran sana
Anko Kipenzi, heshima yako anko.....za masiku tele anko..?Anko
Wadau wa ghetto hamjambo? Mimi nilianza maisha ya ghetto mwezi wa 5 mwaka huu.Naishi maeneo ya uswahilini sana.Sasa jana wakati narudi kutoka kwenye mishe zangu nikakuta nimeibiwa hela.Ni shilingi elfu hamsini tu, kiukweli ni hela ndogo sana lakini ninavyoipata kwa shida inasababisha iniume kwa kweli.Kitu kibaya zaidi wakati naanza maisha ya ghetto bi mkubwa alinionya sana kuweka hela cash chumbani nilipopanga .
Kuweka hela ndogondogo kwenye simu naona ni usumbufu haswa pale inapokatwa wakati wa kutoa. Inaniuma sana yani nimeingia kanisani huku nina kinyongo.
Muwe na Jumapili njema.
[emoji23][emoji119][emoji119]Kukaa veto sio ngumu sana kiivo huwa ni maaamuzi yanayoshabiiana na ndoto za kujitegemea, ndoto za uraji huru ,ndoto za kutengeneza familia, ndoto za kazi binafsi ,ndoto zakupambana dhidi ya umaskini tegemezi, hiii ya kupanga geto wanetu wanaita kuchomoka kwa maza mi naiita kujitegemea kifikra na ndio mana ni ndoto na geto ni ndoto tu ukishajitegemea ukakosa chakula utaota mandoto tu[emoji23]
Kwenye maisha ya upangaji niliwahi kukutana na changamoto kama ya kwako....walikuwa ni wapangaji wenzangu lakini wanajifanya kama ndio wamiliki wa nyumba geti walikuwa wanafunga saa nne usiku na kufungua ni mpaka watake wao,umeme walikuwa wakituchangisha lakini wao walikuwa hawanunui,,ilinibi nihame mkuuKuna siku nimerudi kama mida ya saa 2 hivi,hapo jana yake walifunga geti,niligonga lakini hawakufungua..niliporudi nikaingia geto,nikasema ngoja niende Kwa mama ntilie nikapige msosi,Kuna dada alikuwa yupo jikoni anakula na mtoto wake,kutokana na uoga wa kufungiwa,nikamuaga kabisa nikamwambia naenda kula narudi si mda mrefu geti wasifunge..hee baadae narudi geti wamefunga,goooonga mlango lakini wapi..kitu kibaya zaidi sisi woote wapangaji,mwenye nyumba hayupo