Ipo madukaniMi natumia hiyo Ramz Lattafa, inanukia vizur mno kwa upande wangu.
Ambaye anaijua ataisemea pia. View attachment 2439273
Itakuwepo tuIpo madukani
ππ hizo za emergenceUnasave hela ndani??
Heheee kila la kheri..uepushwe na majanga
Mimi naomba pia tupeane mbinu za kuishi na wapangaji ususan nyumba zenye wapangaji wengi.
Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
Yaan hata hawa wanne kama hawajitambui wanaweza kukupasua kichwa. Wapangaji wengi ni shida.Yote haya ya nn? Siwezi ishi nyumba yenye watu zaidi ya wa 4. Full stop.
Afu sipendi uswahili mie.
Unajishauaaa dogoYote haya ya nn? Siwezi ishi nyumba yenye watu zaidi ya wa 4. Full stop.
Afu sipendi uswahili mie.
Hata mkiwa wawiliYaan hata hawa wanne kama hawajitambui wanaweza kukupasua kichwa. Wapangaji wengi ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shida tupu. ila zina vumilika. Huku kunakua uswahilini vyumba vya bei chee.Yote haya ya nn? Siwezi ishi nyumba yenye watu zaidi ya wa 4. Full stop.
Afu sipendi uswahili mie.
Hata mkiwa wawili mtu akiamua kupasu ubongo wako utahenya kwelikweli. Atakufuatilia mpaka ukereke.Yaan hata hawa wanne kama hawajitambui wanaweza kukupasua kichwa. Wapangaji wengi ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaaa nikae nyumba yenye wapangaji wengi, si ndo ntakua maongezi ya kila vikao vyao.Unajishauaaa dogo
Bora ukute muwe wote bachelors, au laah wawe na majukumu, kuepusha vikao ya home visivyo na mpango.Yaan hata hawa wanne kama hawajitambui wanaweza kukupasua kichwa. Wapangaji wengi ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli kabisa, nyumba za kupanga zina kero sana.Hata mkiwa wawili mtu akiamua kupasu ubongo wako utahenya kwelikweli. Atakufuatilia mpaka ukereke.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wadada mna maghubu sana nyie. Ndio mnaongoza kusemana nyumba za kupanga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaaa nikae nyumba yenye wapangaji wengi, si ndo ntakua maongezi ya kila vikao vyao.
Nashukuru nilipo kila mtu ana mind bussiness zake. Afu sio majobless, jobless n mie pekee angu.
Na vikao mnakaaga πππBora ukute muwe wote bachelors, au laah wawe na majukumu, kuepusha vikao ya home visivyo na mpango.
Na wewe hupiki kweli!????????tusiopika
Vifriji havina hata nyanya View attachment 2441486
Nampikia nani? πππ
ππππ nakuelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaaa nikae nyumba yenye wapangaji wengi, si ndo ntakua maongezi ya kila vikao vyao.
Nashukuru nilipo kila mtu ana mind bussiness zake. Afu sio majobless, jobless n mie pekee angu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tumbo la kwanza ni lako.Nampikia nani? [emoji23][emoji23][emoji23]