Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Iyo raman ni ya kitanda tu vipi kochi,jikoHuu ni mpangilio mzuri wa chumba. TujifunzeView attachment 2498510
Kwanza kulia ndio changu kimekaaHuu ni mpangilio mzuri wa chumba. TujifunzeView attachment 2498510
Kwenye nyekundu ni mpangilio usiofaa. Kwenye bluu ndio mpangilio sahihiHicho cha bluu/ chekundu ni nini?
Kubet si dhambi.DAH NATAMANJ KUACHA KUBET , ILA MHHHHH. ASEEEEEEEEEE
Hili jambo la msingi sana,kuna haja ya kulifanyia kaziGeto sawa Ndugu Zangu ila kuna hili Jambo linaitwa “Digital Nomad”
Ukiweza kufanya kazi remotely ni hatua moja ya ku travel the world.
Kwanini wote tuwe tunaishi kwa system iliyopangwa what if ukiwa unataka kuzurura kwanza kabla ya ku settle
Umeelewa kilichoandikwa hapo[emoji23]
Inabidi aje kutoa ufafanuzi[emoji28]Hapana [emoji28]
Mr D vinaNilitoka like Shwaaa!!
Nilienda kwa miguu yangu mwenyeweWakuu mambo vipi, leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyochomoka Nyumbani kwao.. Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.
Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani, mbaya zaidi anasubir kazi, halafu kazi zenyewe haijulikani utapata lini.
Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home. Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.
Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo, mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani, inakata sana hii
Tukija kwenye maisha ya kujituma tu. Sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure, unalala bure, kila kitu bure. Hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..
Pia inakata sana. Pale wanao unakuta wapo na mageto yao. Lakini wewe kwako ni tofauti.
Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza.
Mimi binafsi gheto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo, nakumbuka nilipata room ya elfu 50 nikaanza nayo kibishi, nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6, nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu, gheto bila mziki sio geto ni choo, kujicheki mfukoni boom likawa lishakata, basi nikaendelea kuishi geto hadi namaliza chuo gheto likawa limesheheni tu.
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi home ujinga niliofanya ni kurudi home na baadhi ya vitu niliviuza. Kasheshe ndio ipo saa hizi. wakuu home akili inalala, vibe yote hakuna, hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana. hope ndani ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.
Sasa share kitu basi nawewe.
Nini lilikusukuma usepe home?
Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
Maisha yalikuaje since day one?
Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?
Karibuni wakuu.
Tafuta mkeDah maisha ya ghetto bana, unaamka asubui bin salama salimini , unaamshwa na hisia za mkunyenge ukihitaji kipapasio mara ghafla uko mwenywe ghetto, dah hama kweli wanawake wanatukamilisha sisi wanaumee ngoja nitafute demu
Si muoane tuu, kwani shida nini?Wakuu naombeni ushauri katika maisha Yangu.
Kwanza Hongereni sana na mapambano, ila katika maisha ya Ghetto jitahidi sana kuweka uvumilivu katika Muda.
Tukumbuke sisi ni Wapambanaji, hatutegemei msaada kutoka kwa mjomba au shangazi. Usitake mambo mengi kwa wakati mfupi...(power of delayed Gratification)
Kwa upande wangu Iko hivi.
Nina ishi na msichana ambae tupo kwenye uhusiano almost miezi 10 Sasa.
Kiukweli uyu manzi ananikubali sana, na Mimi pia namkubali kinyama. Hii ni kwasababu amenisaidia mambo mengi sana. Katika kutimiza ndoto zangu..(amenisaidia sana)
Sasa kwakuwa nakaaa nae bila ndoa, Kuna changamoto ya mwezi mtukufu wa ramadhani. Mana kijamii na kidini sio sahihi kukaa kiunyumba bila ndoa..
Sasa huyu dada akasema yeye atahama ila mwezi ukiisha itabidi nihamie hapo alipopata chumba mana mama mwenye nyumba hawaelewani(udhaifu wa wanawake))
Sasa Mimi naomba ushauri
Nikae nae au tukae tofauti ila tutakuja kufunga ndoa au tuanze kupambana kuanzia chini mpaka juu??
Je hustle za kupambana uku unaishi na msichana ambae utakuja kumuoa inaakaaje??
Naombeni ushauri wa kina mana nikimwambia tukae tofauti lazima aanze kulia..
Naomba ushauri!
Ninapokaa Kodi inaisha mwezi wa tano(40000) tutakapo Amia ambapo amelipa yeye Kodi ni (70000) amelipa miezi 4.
Naomba msaada