D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Tuoneshe lako ulivopanga nguoMdeki maghetto hayo
Mfue
Mpange vitu kwenye mpangilio
Kupanga vtu kwa mpangilio nipo vzuri ila kufua shuka sasa ndio tatzoMdeki maghetto hayo
Mfue
Mpange vitu kwenye mpangilio
Peleka kwa dobiKupanga vtu kwa mpangilio nipo vzuri ila kufua shuka sasa ndio tatzo
Unapelekaje kwa dobi kufuliwa shuka moja mzee..huo ni uvivuPeleka kwa dobi
Peleka dry cleanerKupanga vtu kwa mpangilio nipo vzuri ila kufua shuka sasa ndio tatzo
Kusanya ziwe hata 4+Unapelekaje kwa dobi kufuliwa shuka moja mzee..huo ni uvivu
Sijawah peleka nguo dry cleaner tangu nianze maisha ya kujitegemeaPeleka dry cleaner
Ni sh elfu 2 tu kwa 1pc
Sijawah peleka nguo dry cleaner tangu nianze maisha ya kujitegemea
Mtu ana shuka moja kauka nikuvae unamwambia akusanye nini?Kusanya ziwe hata 4+
πππ unakuwaje na shuka moja wakati ukinunua unapewa mawiliMtu ana shuka moja kauka nikuvae unamwambia akusanye nini?
Njoo ghetto kwangu kuna harufu nzuri ya gomba na shada. Shuka nafua
Mtumbani ukitaka hata robo wanakukatia.πππ unakuwaje na shuka moja wakati ukinunua unapewa mawili
Sipatani na hizo mbishe π
Ile harufu inanipaliaga
Kweli umeshavuta kituMtumbani ukitaka hata robo wanakukatia.
πππMtumbani ukitaka hata robo wanakukatia.
Kwahio wee sister du huwa hufui? Nimekata tamaaππ Hongera
Me wameshanikariri
Hello Handsome πKwahio wee sister du huwa hufui? Nimekata tamaa
Twin tub washer yaanzia 170-700K kutegemea na KGPeleka dry cleaner
Ni sh elfu 2 tu kwa 1pc
Njoo geto niko mwenyewe naangalia mpiraHello Handsome π
ππ me nafua bana
Ila sometimes inatokea nikipeleka blanket/ duvet lazima liende na mashuka.