Ulianzaje kukaa gheto?

Mkuu umenichekesha sana. kuna jamaa nilifikia kwake Dar duh yalikuwa majanga. Jamaa ana kitanda ila hakina godoro katandika shuka juu ya chaga.nilikoma kwa ubahili wangu. palipokucha nilibeba begi nikaelekea lodge kufanya booking ya jioni nikaacha begi nikafuata mishe zilizonileta.
 
,[emoji16][emoji16]
 
Aise nakumbuka mwaka 2009 ,...nilivuoanza kukaa gheto kwangu nikiwa na miaka 21 tu ...nikiwa na kitanda cha 3 kwa 6 na sufuria 3 ...hapo nikiwa nimepanga

Mshua hakufaruhia kabisa uondokaji wangu , alizani nitafeli maisha ...haikuwah kutokea ...mpk leo

pamoja na kastool ka plastic ...mdogo mdogo na jiko la mafuta maisha yaakaanza kusonga na nilikuwa ugenini

Nilikuwa na kishughuli kilikiwa kinaniingizia sh 150,000 kwa mwezi ...

mpk leo namiliki mjengo wangu mkubwa kabisa vyumba 5 master bed room 2 .....yaaani nipo full

Maisha bwana sio mpk kuwa na hela nyingi ni kuamua tu...kwa mlio mwanza karibuni vijana mje mjifunze kwangu

Tafuta marafiki waliofanikiwa acha kukaa na marafiki walioshindwa hawawezi kukupa kabisa future
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…