dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Kila la kheriWakuu najichanga mambo magumu daah niombeeni na mi nikamilishe plan yangu mwez wa tatu au wa 4 niend getoo
yess BiShoo haswaaAaa
Wakuu najichanga mambo magumu daah niombeeni na mi nikamilishe plan yangu mwez wa tatu au wa 4 niend getoo
yess BiShoo haswaaAaa
Duh umetisha mwanangu kama CCMMwaka uu nilipanga kwenda kupanga lakin mambo yamekuwa poa zaid nimeamua kushusha mjengo kabisa so mwakan ndaamia kwangu sio geto panapo majaliwa GOODS PLAN
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa brooTaratibu mkuu
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
AmeenKila lakher mkuu
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
story ndefu kiasi,Hebu tupe mkasa mzm mkuu[emoji2]
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
tumeahrisha kupisha hukumu ya viongoz wa ChademaHaya wale mlioahidi mwezi wa tatu kuingia magethoni tunaomba mrejesho.
Hongera sana mkuu, Mungu na azidi kubariki kazi za mikono yako/yenustory ndefu kiasi,
maana nilianza kukaa geto baada ya kidato cha 4, kisha nikaenda Alevel, kumaliza geto na wandugu zangu wa kuzaliwa, maana tulikuwa yatima.
napata kazi yangu ya kwanza, nimewasili kituoni moshi huko, jamaa akaniambia chumba hicho na godoro la mkopo hilo utalipa kwa miezi mi3, hiyo likuwa mwaka 2003.
2004 nikarudi chuo tena, kumaliza tena geto.
nikapata wenzangu, nikaoa ndoa takatifu ndani nina godoro tu, week mbili za kwanza mpaka akaletewa kila kitu cha home, kutoka kwao.....
leo yote yamepita nina kila kitu katika maisha kijana anahitaji kuwa navyo.... naamini unajua! sina haja ya kuvitaja