Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Hongera sana mkuu...sasa vp anko ulirud kumsalimia tangu utimue kibati?[emoji16]
Hii kitaalamu tunaiteje[emoji16]
Ulifanya makosa sana kurudisha mpira kwa kipaWakuu mambo vipi, Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.
Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani, mbaya zaidi anasubir kazi, halafu kazi zenyewe haijulikani utapata lini.
Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home. Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.
Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo, mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani, inakata sana hii
Tukija kwenye maisha ya kujituma tu. sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure, unalala bure, kila kitu bure. Hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..
Pia inakata sana. Pale wanao unakuta wapo na mageto yao. Lakini wewe kwako ni tofauti.
Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..
Mimi binafsi gheto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo, nakumbuka nilipata room ya elfu 50 nikaanza nayo kibishi, nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6, nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu, gheto bila mziki sio geto ni choo, kujicheki mfukoni boom likawa lishakata, basi nikaendelea kuishi geto hadi namaliza chuo gheto likawa limesheheni tu.
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi home ujinga niliofanya ni kurudi home na baadhi ya vitu niliviuza. Kasheshe ndio ipo saa hizi. wakuu home akili inalala, vibe yote hakuna, hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana. hope ndani ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.
Sasa share kitu basi nawewe.
Nini lilikusukuma usepe home?
Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
Maisha yalkuaje since day one?
Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?
Karibuni wakuu..
View attachment 878774
[emoji119][emoji119][emoji16][emoji16]Npo nna 21 yrs ila geto langu kama la mwajiriwa kila kitu ndani kipo afu ukicheki om sio safi kivile..
SHERIA ZA GETO LANGU..
1:WANA NJOONI TUCHEKI BOLI KIJANA WENU KIFURUSHI NALIPIA ILA KULA KWAKO...
2:GETO LANGU KIPINDI CHA DISCUSSION GENDER ZOTE ILA UKIJIPENDEKEZA UNAKUJA KUCHEKI TAMTHILIA PEKE YAKO NIKIKUTAFUNA BAHATI MBAYA...
3: SIKU SHEMEJI YENU AKIJA HATA KAMA KUNA MANCHESTER NA CHELSEA JUA TUKO OFF..
4:UKIINGIA NDANI HICHI UMENUNUA SHILINGI NGAPI KILE WAPI SITAKI...
5:GETO LANGU LINATAKIWA LIWAKE ZAIDI YANGU.
6:BIBIE KUPENDEZA KWA GETO LANGU HAIMAANISHI UBEBE MZIGO WANGU TAKE CARE KUNA V.A.R...
7:GETO LANGU MCHEZAJI NI MIMI TU MAANA NDO NNAEFUA WANA MTANISAMEHE
Haha dah Hapo umetia heshima...sasa ungekua upo kwao hadi leo shangaz angeendelea kukuona miyeyusho tu
hahaha we jamaa hiyo number 7 inaleta misunderstanding mara kila kibao na maselaNpo nna 21 yrs ila geto langu kama la mwajiriwa kila kitu ndani kipo afu ukicheki om sio safi kivile..
SHERIA ZA GETO LANGU..
1:WANA NJOONI TUCHEKI BOLI KIJANA WENU KIFURUSHI NALIPIA ILA KULA KWAKO...
2:GETO LANGU KIPINDI CHA DISCUSSION GENDER ZOTE ILA UKIJIPENDEKEZA UNAKUJA KUCHEKI TAMTHILIA PEKE YAKO NIKIKUTAFUNA BAHATI MBAYA...
3: SIKU SHEMEJI YENU AKIJA HATA KAMA KUNA MANCHESTER NA CHELSEA JUA TUKO OFF..
4:UKIINGIA NDANI HICHI UMENUNUA SHILINGI NGAPI KILE WAPI SITAKI...
5:GETO LANGU LINATAKIWA LIWAKE ZAIDI YANGU.
6:BIBIE KUPENDEZA KWA GETO LANGU HAIMAANISHI UBEBE MZIGO WANGU TAKE CARE KUNA V.A.R...
7:GETO LANGU MCHEZAJI NI MIMI TU MAANA NDO NNAEFUA WANA MTANISAMEHE
Mimi wasela wangu wote hakuna wakuleta demu kwa msela yeyote yule. In short mimi ni mbaguzi sana kwenye suala la urafiki, marafiki zangu wote tunafanana akili na mawazo.hahaha we jamaa hiyo number 7 inaleta misunderstanding mara kila kibao na masela
KivipiNilijikuta tu nipo kwe ghetto la serikari
Ulipiga mishemishe gan?kwanza sijawahi penda maisha ya bweni au hostel toka naanza form1..advance nilikua shule ya bweni ila sikua nakaa huko zaidi ya kipindi cha mitihani..kuna jamaa alikua mtaani nilikua nastay nae huku nikipiga mishe mbalimbali za pesa..Baada ya kutoja jkt kwa mujibu na kuchaguliwa chuo pendwa hapa tz kwa Makonda nikapangiwa hostel..kumbuka muda huo nachukia hostel kinoma.Basi nikajipiga bum langu la kwanza nikajipeleka ushuani kwa watoto wa aru na ud wanaelewa(savei) mana kodi bei mbaya..siku ya kwanza nililala chini..ya pili nikaweka godoro,kitanda,gesi,feni,kisabufa cha kuzugia na makorokoro mengine..nilistay pale mpaka mwaka unaisha..mwaka uliofata nikahamia sehemu nyingine huko nikaweka kila kitu cha ndani mapaka washikaji wakawa wanasema we jamaa utafikiri mfanyakazi wa benki wakati bum wote sawa na world cup walikua wanacheki kwangu..kiufupi nilikua mjanja sana kutafuta pesa ili nisiguse kabisa hostel na sitarajii kurudi home
Hiyi no 7 ni bora nionekane snitch.kitanda ninacholala ni mahala patakatifu. Na uzuri marafiki nilio nao wanalijua hilo.Npo nna 21 yrs ila geto langu kama la mwajiriwa kila kitu ndani kipo afu ukicheki om sio safi kivile..
SHERIA ZA GETO LANGU..
1:WANA NJOONI TUCHEKI BOLI KIJANA WENU KIFURUSHI NALIPIA ILA KULA KWAKO...
2:GETO LANGU KIPINDI CHA DISCUSSION GENDER ZOTE ILA UKIJIPENDEKEZA UNAKUJA KUCHEKI TAMTHILIA PEKE YAKO NIKIKUTAFUNA BAHATI MBAYA...
3: SIKU SHEMEJI YENU AKIJA HATA KAMA KUNA MANCHESTER NA CHELSEA JUA TUKO OFF..
4:UKIINGIA NDANI HICHI UMENUNUA SHILINGI NGAPI KILE WAPI SITAKI...
5:GETO LANGU LINATAKIWA LIWAKE ZAIDI YANGU.
6:BIBIE KUPENDEZA KWA GETO LANGU HAIMAANISHI UBEBE MZIGO WANGU TAKE CARE KUNA V.A.R...
7:GETO LANGU MCHEZAJI NI MIMI TU MAANA NDO NNAEFUA WANA MTANISAMEHE
Niliandika nikiwa nimelewa nadhaniKivipi