Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Lakini pia ulitumia mbinu gani na zilizokufanikisha kuacha umalaya, usagaji, nyeto, uasherati na udangaji, hadi sasaivi unaonekana umetakata, una afya njema, unavutia, nadhifu, unaaminika na kuheshimika mbele ya jamii?🐒
Maana madhara ya uchafu huo ni bayana, yameathiri pakubwa jamii nzima ya sasa, na vijana wa rika mbalimbali wana aibika kutafuta suluhu matatizo ya nguvu za kijinsia ambayo wameyasababisha wenyewe na yanawatesa sana kwenye ndoa na mahusiano yao 🐒
Hii ikimaanisha sehemu kubwa ya jamii imeshiriki japo kwa kificho katika kuharibu mfumo wa afya ya uzazi kwa punyeto, usagaji, uasherati, uzinzi na ulawiti kupindukia 🐒
Je, ndugu yetu,
uliwezaje kuondokana na changamoto hii ya fedheha nzito sana? Hebu shirikisha mbinu familia ya JF nayo iweze kujikwamua kwenye mkwamo huu wa aibu 🐒
Maana madhara ya uchafu huo ni bayana, yameathiri pakubwa jamii nzima ya sasa, na vijana wa rika mbalimbali wana aibika kutafuta suluhu matatizo ya nguvu za kijinsia ambayo wameyasababisha wenyewe na yanawatesa sana kwenye ndoa na mahusiano yao 🐒
Hii ikimaanisha sehemu kubwa ya jamii imeshiriki japo kwa kificho katika kuharibu mfumo wa afya ya uzazi kwa punyeto, usagaji, uasherati, uzinzi na ulawiti kupindukia 🐒
Je, ndugu yetu,
uliwezaje kuondokana na changamoto hii ya fedheha nzito sana? Hebu shirikisha mbinu familia ya JF nayo iweze kujikwamua kwenye mkwamo huu wa aibu 🐒