Ulibakwa vipi? Wakati unafanya mapenzi hukujua kama ni tendo la watu wazima?

Ulibakwa vipi? Wakati unafanya mapenzi hukujua kama ni tendo la watu wazima?

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
Kumekuwa na Kesi za wanafunzi kupewa mimba au kufanya mapenzi kabla ya umri wao yaani chini ya miaka 18, swali kama watoto wetu hawa wanajua fika kufanya mapenzi chini ya miaka 18 ni kitendo cha ubakaji, je, wakati anafanya hilo tendo la ndoa hakujua kama ni tendo la watu wazima kufurahia maisha? Tunajua chini ya miaka 18 kama hasomi anaweza kuolewa kwa taratibu maalum.

Tuangalie jinsi ya kuibadili hii sheria, Majuzi Mwigizaji Elizabeth Michael (LULU) amehukumiwa kwenda jela miaka 2 lakini wakati anafanya tukio la kumuua Muigizaji mwenzake KANUMBA alikuwa chini ya miaka 18. Mahakama ilituambia kuwa wakati anaua hakujua kuwa kuua ni tendo baya?

Sheria zina upendeleo na Je, wanasheria mnatusaidia vipi kuboresha sheria zetu?

Ndimi: DEOGRATIUS NALIMI KISANDU
22 Desemba 2017
 
Kisandu, sikukuelewa.Labda ungetoa pendekezo la jinsi unavyotaka sheria iwe ili kuondoa huo utata uliouona.
 
Kumekuwa na Kesi za wanafunzi kupewa mimba au kufanya mapenzi kabla ya umri wao yaani chini ya miaka 18, swali kama watoto wetu hawa wanajua fika kufanya mapenzi chini ya miaka 18 ni kitendo cha ubakaji, je, wakati anafanya hilo tendo la ndoa hakujua kama ni tendo la watu wazima kufurahia maisha? Tunajua chini ya miaka 18 kama hasomi anaweza kuolewa kwa taratibu maalum.

Tuangalie jinsi ya kuibadili hii sheria, Majuzi Mwigizaji Elizabeth Michael (LULU) amehukumiwa kwenda jela miaka 2 lakini wakati anafanya tukio la kumuua Muigizaji mwenzake KANUMBA alikuwa chini ya miaka 18. Mahakama ilituambia kuwa wakati anaua hakujua kuwa kuua ni tendo baya?

Sheria zina upendeleo na Je, wanasheria mnatusaidia vipi kuboresha sheria zetu?

Ndimi: DEOGRATIUS NALIMI KISANDU
22 Desemba 2017
Ndugu yangu, Mahakama kusema kuwa alifanya kitendo akijua kuwa ni tendo baya halina Justification katika lugha ya sheria. Sheria inatambua minor na mtu akiwa minor ni minor tu katika lugha ya sheria.
Kwa maneno menginei ni udhaifu wa jaji katika kutetea msimamo wake.
 
Back
Top Bottom