Ulichukua maamuzi gani ulipokuta SMS za miadi za ex wa mpenzi wako kwenye simu yake

Ulichukua maamuzi gani ulipokuta SMS za miadi za ex wa mpenzi wako kwenye simu yake

Ndenji five

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
1,985
Reaction score
3,109
Wakuu kila mmoja najua kapitia au anapitia haya mambo unakuta tu hutarajii umeshika simu ya mpenzi wako

Mimi bwana ilikuwa jumamosi moja hivi natoka zangu masafa si unajua wengine sisi sio wakaaji wa nyumbani ile unatoka hom leo kurudi pengine wiki kazaa mbele

Basi bwana baada ya wiki kazaa kutoweka hom siku ya kurudi hom ikafika ila nikamcheki wife leo naweza rudi ila sina uhakika sana maana mambo ya barabarani ni mengi hasa kwa sisi madereva wa masafa (truck) akasema sawa wanikuta

Baada ya masaa kama nane nikajongea hom ila ulikuwa usiku sana nikakuta wife Kalala ile fofofo
Nikamstua mfanyakazi akanifungulia

Nimeingia chumbani mlango haujafungwa nimekaa kidogo umeme umekatika ila pembeni naiona simu ya wife nikasema nichukue niwashe taa yake maana simu yangu ili kata chaji

Dah sijui shetani gani aliniingia nikajikuta nimeenda kwenye text nikakuta sms ambayo haijasomwa

"Asante mpenzi kwa penzi lako la leo umenifanya nienjoy"

Asee moyo ukadunda paah nikajikaza kiume nikajifanya nachati nae kama wife kwa ile namba tumechatii hapo wife Kalala kinoma

Basi nikasema hadi hapo wife kaliwa hakuna jinsi nikajifoadia zile text na kutoka usiku huo huo

Nikaenda bar nikala bia kubust akili maana nikila ulabu hua mtulivu sana
Basi zilivyopanda nikaanza kujiuliza hivi hata ukilipa kisasi ulikokwenda umekula wangapi[emoji39][emoji39]

Na
Alikuhoji nani ? NikajikutA nimepoa taratibu nikanunua barmed zangu wawili nikakodi room mbili basi nikawa na wala kizam kupoteza hisia fulani hivi asubuhi nikamtumia zile text wife

Akajifanya anajutia ya kuwa genye zilimzidi hakuwa na jinsi nikamwambia usijali mama kawaida kikubwa kitu yangu imebaki jamaa hajaibeba frexh wiki kaza tukapima mwanaume nikarudi tena masafa

Ndio hivyo wakuu hebu tupe yako ulichukua uamuzi gani?
View attachment 2017977
 
Kusaidiana ina weza kuwa kamzidi kiuchumi ulie nae kwa sasa kwaiyo ukiwa na shida ana saidia, kingine ina wezekana ulimpenda Sana na bado Una mpenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndio mnao waentertain ma ex wenu na kuhatarisha mahusiano yenu mapya

Kwanza kila mtu yuko na misimamo yake hatuwez kufanana

Pili, kwa maneno yako binafsi siwez hitaji msaada kwa ex hata siku moja, haijalishi tuliachana kwa style gan nzuri au mbaya

Kuhusu kumpenda hivi unaingia kwenye mahusiano na mtu si mnakua mnapendana na mpaka mnafikia kuachana it means mmeshindwa kufikia makubaliano yenu na unaona kabisa hapa hakuna future sasa niendeleee kushikilia nizidi kujiumiza?? tunaachana tu haijalishi nilikupenda kiasi gan na kikubwa ni kukubali kua sina namna zaidi ya hio na maisha lazima yasonge

Mimi tukimalizana na ukurasa wako umefungwa, yan sitataka kujua chochote kuhusu wewe, sutakua stalker et nianze kukuchungulia jinsi maisha yako yanaendelea bila mimi kwa kweli hapana hua naishi kama vile sjjakutana na wewe na sikujui wala hujawahi kutokea kwenye maisha yangu na najivunia hili kwa kweli

Sijawah kumuomba ex msaada wowote ule na sio kwamba et na mwenzangu hatukwami kwa kweli hakuna maisha ambayo yapo na ups tu kuna downs kama zote lakini hua ni mwenye kustahmili sababu najua lazima hiki kipindi kipite ni subra tu na hua hivyo na hivi ndivo nilivyo.
 
Mkuu kama umejua mkeo kagegedwa na ukufanya lolote,hao hawataacha wataendelea tena kwa umakini zaidi,na usipoangalia utalea mimba hadi watoto wasiokuwa wako
Kila mmoja huangukaa "asiye wahi kutenda Zambi na awe wa kwanza kumpiga jiwe "[emoji23][emoji23][emoji23] nani aliweza kila mmoja kona yake ? Mkuu tuish kwa kuvumilia tu tukisema tuchunguzane pasingekalika hapa duniani
 
Back
Top Bottom