Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
SaluteeeeeTangu enzi zileeee za Jambo
Nyuzi zote ziko sawa
kaka ukitaka kujua umejiunga lini unaenda wapi ?Mimi kama nasmile.nilijiunga 2011
Uzi wangu ninaokubali ni ule ni maswali gani hayajibiki duniani
Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?
Mfano 1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.? 2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?www.jamiiforums.com
Bonyeza avatar yako utaonakaka ukitaka kujua umejiunga lini unaenda wapi ?
Nikitaka kubonyeza avatar yangu nafanyajeBonyeza avatar yako utaona
Acha bangi kijanaπ€, si utumie vidole?Nikitaka kubonyeza avatar yangu nafanyaje
Nazingua nazingu... Ndgu yangu .Acha bangi kijanaπ€, si utumie vidole?
Mimi wa juzi tu hapaMimi kama nasmile.nilijiunga 2011
Uzi wangu ninaokubali ni ule ni maswali gani hayajibiki duniani
Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?
Mfano 1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.? 2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?www.jamiiforums.com
Naelewaπ€, Huku nanjilinjii ni mzuka kabisa πNazingua nazingu... Ndgu yangu .
Vipi lakini kwema huko
Sawa sawa lala sasa kakaNaelewaπ€, Huku nanjilinjii ni mzuka kabisa π
Nilale wapi π€Sawa sawa lala sasa kaka
2014ππ!