Ulikutana na changamoto gani ulipomiliki Gari lako la Kwanza?

Ulikutana na changamoto gani ulipomiliki Gari lako la Kwanza?

Nliuziaa gari kimeo sikuwahi ie desha zaidi aiku ni.eitoa kwa muuzaji nikaifikisha garage nikahangaika nayo niliiuzia palepale. Gari ya 2 niliuziwa imeshanoki nayo jikaiuza kwa hasara, ya 3 nikanunua nzuri tu sikukaa nayo sana nikaiuza kwa faida nikanunua ya 5 ndo natumia sasa hivi
 
Aiseee day nanunua gar langu la Kwanza kirikuu nilipigwa had kidgo niikimbie gari baadaae nikaja kuwa master mind
 
Aiseee day nanunua gar langu la Kwanza kirikuu nilipigwa had kidgo niikimbie gari baadaae nikaja kuwa master mind
 
Me nilinunua carina kwa wazee ya alikua anatumia mdada, au wale naiuzia tu shida jamani full ac na hakuna rangi nikaacha kuona kidogo niipelekea mpaka kwa mganga
 
Back
Top Bottom