STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi.
Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa siku (kipimo cha kawaida) it means unakunywa bia 1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650.
Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained ya kisasa. Hii inamaanisha kuwa kama wewe nimnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau
nyumba 1 au 2.
Sasa hebu jiulize tangu umeanza bia hadi leo umeshakunywa nyumba ngapi?
Anyway.. tuache kufananisha nyumba na vitu vya maana. Muhudumu ongeza bia.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi.
Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa siku (kipimo cha kawaida) it means unakunywa bia 1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650.
Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained ya kisasa. Hii inamaanisha kuwa kama wewe nimnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau
nyumba 1 au 2.
Sasa hebu jiulize tangu umeanza bia hadi leo umeshakunywa nyumba ngapi?
Anyway.. tuache kufananisha nyumba na vitu vya maana. Muhudumu ongeza bia.