Shiiiiii!!Mkuu usiwashtue walevi.Acha wengine tuendelee kuitwa baba mwenye nyumbaKila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la
inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi
Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa
siku (kipimo cha kawaida) it means unakunywa bia
1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650. Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained
ya kisasa. Hii inamaanisha kuwa kama wewe ni
mnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau
nyumba 1 au 2. Sasa hebu jiulize tangu umeanza bia
hadi leo umeshakunywa nyumba ngapi?
Anyway.. tuache kufananisha nyumba na vitu vya maana. Muhudumu ongeza bia.
Maajabu mengine mpaka unaandika hivi huna hata kibanda bado unepanga, huku hunywi,Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la
inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi
Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa
siku (kipimo cha kawaida) it means unakunywa bia
1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650. Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained
ya kisasa. Hii inamaanisha kuwa kama wewe ni
mnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau
nyumba 1 au 2. Sasa hebu jiulize tangu umeanza bia
hadi leo umeshakunywa nyumba ngapi?
Anyway.. tuache kufananisha nyumba na vitu vya maana. Muhudumu ongeza bia.
Nibora wanywa biere, wanajua hela ilipoishia kuliko wengine hata hawajui zimeishia wapi. halafu kujenga ni mipango na zama, siyo swala la ulevi. mleta mada una element za woga wa maisha, nahisi ukiwa bar pesa unahesabia chooni.
Ukiacha kula pia ndo utajenga hata kumi aisee!Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la
inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi
Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa
siku (kipimo cha kawaida) it means unakunywa bia
1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650. Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained
ya kisasa. Hii inamaanisha kuwa kama wewe ni
mnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau
nyumba 1 au 2. Sasa hebu jiulize tangu umeanza bia
hadi leo umeshakunywa nyumba ngapi?
Anyway.. tuache kufananisha nyumba na vitu vya maana. Muhudumu ongeza bia.
Takwimu zinaonyesha watu wengi wanaokunywa bia ndo wamejenga, na wengi wasiokunywa bia ndo wamepanga hawajajenga, sijui kwann hapo..?