Ulikuwa kiranja gani shuleni enzi unasoma msingi?

Time keeper secondary school.
Mpandisha bendera ya shule na kushusha nikiwa sekondari.
Class representative A level.
Class monitor in some of primary classes.
Tuition kwa mwalimu Ndossi nilikuwa mkusanya madaftari kwenda kusahihishwa na kuchukua na kuyagawa.
Prayer leader na praise leader nikiwa chuo kwenye kikundi cha dini.
 
umenikumbusha mbali sana.nilikuwa mtoro wa pale ikifika saa 12:30 baada ya vipindi mimi naondoka nakwenda kijenge ya juu kwa wazungu hapo ilikuwa darasa la pili basi huo ndio ulikuwa mchezo wangu baada ya mda mwalimu mkuu akanishika nyuma ya kanisa kuanzia hapo ili wanikomeshe nikapewa timekeeper na darasani nikapewa kiranja wa Darasa hadi namalima primaryschool.



swissme
 
mm nilikuwa mkorofi sana kupinga wezangu ndo starehe yng ila dalasani npo vzr
 
Monitor kwa mwezi mmoja Darasa la Sita baada yahapo hakuna
 
Duh mm nilikua class monitor form 1,form two na three kiranja wa kilimo na chakula ,form four kiranja wa ulinzi ,advance kiranja wa chakula ,chuo waziri wa elimu ,haaa haaa duh umenikumbusha mbali sana
 
Sikuwahi kuwa kiongozi wa aina yoyote katika maisha yangu yote ya kusoma.
 
Mimi nilikuwa Monta ila baada ya siku mbili nilitimuliwa maana nilikuwa ndio champion wa kelele darasani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…