Mtambuzi asante sana kwa huu uzi, pia shukrani za kipekee kwako kwa kutuwakilisha na wengine wote waliohudhuria msiba.
Nimewasiliana na KakaKiiza kumpa pole maana sikuweza kwenda msibani, kweli Mungu amtie nguvu yeye na watoto wake katika wakati huu mgumu sana.
Apumzike kwa amani Mrs.KakaKiiza, AMEN!!