Waswahili bwana, ndio maana wabeba box wanakuja TZ kuwatambia kwa porojo na wakati wanasota tu majuu. Eti anamiliki duka la nguo Marekani, uliza kwanza kuhusu hayo maduka ya nguo ya Wabongo. Labda uwe hujaishi Marekani ndio utatetemekea kama wewe.
Uwezo wangu nadhani wapo wanaonijua humu watakusaidia kukueleza. Ila kwa kifupi, kama unamuona Linda bonge la tajiri, basi mimi nione Kama Mengi vile, kwa sababu huyo Linda wala hanikaribii.
Sipendi tabia za kujisifu mitandaoni, ila ni vema ukafahamu kuwa, nina ajira za watu 82 (sio vibarua) ktk miradi yangu ya ndani na nje ya TZ. Nimefunga mjadala wangu.
Ova.