Ulikuwa wapi Siku zote?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Ulikuwa wapi siku zote kusema kuwa hakufikishi kileleni, au hajui majamboz, au hajui kuoga?
Mmeachana ndio unaanza kuyaongea hayo why??
 
Ili usipate mwingine na iwe vigumu
Upate machungu zaidi
Na bado utatukanwa sana mpaka uhame mtaa:A S-alert1:
 
Ulikuwa wapi siku zote kusema kuwa hakufikishi kileleni, au hajui majamboz, au hajui kuoga?
Mmeachana ndio unaanza kuyaongea hayo why??

A thin Line Between Hate and Love!!!!!!!
 
kwanini umemuacha kama hutaki siri zako zitoke nje?
 
Matusi hulka ya mtu, Roho inamuuma huyo...
 
Mi huwa kama mtu haniridhishi namueleza tukiwa ndani ya uhusiano ili ajirekebishe na nipate kilicho bora.
Tukiachana hamna haja ya kutukanana, tunaachana kwa amani na salama, ni tukionana namuomba tena mchezo
kwanini umemuacha kama hutaki siri zako zitoke nje?
 
Nyie ndio huwa mnang'atwa ndimi na sehemu zenu za siri kwa kutaka kujistarehesha bila ya huruma na wale uliowaumiza moyo
mi huwa kama mtu haniridhishi namueleza tukiwa ndani ya uhusiano ili ajirekebishe na nipate kilicho bora.
Tukiachana hamna haja ya kutukanana, tunaachana kwa amani na salama, ni tukionana namuomba tena mchezo
 
Ulikuwa wapi siku zote kusema kuwa hakufikishi kileleni, au hajui majamboz, au hajui kuoga?
Mmeachana ndio unaanza kuyaongea hayo why??

Inawezekana siku za mwanzo alikuwa anapretend sahv ndo anaonesha makucha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…