Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ulikuwa wapi siku zote kusema kuwa hakufikishi kileleni, au hajui majamboz, au hajui kuoga?
Mmeachana ndio unaanza kuyaongea hayo why??
A thin Line Between Hate and Love!!!!!!!
Ili usipate mwingine na iwe vigumu
Upate machungu zaidi
Na bado utatukanwa sana mpaka uhame mtaa:A S-alert1:
mfamaji.
kwanini umemuacha kama hutaki siri zako zitoke nje?
mi huwa kama mtu haniridhishi namueleza tukiwa ndani ya uhusiano ili ajirekebishe na nipate kilicho bora.
Tukiachana hamna haja ya kutukanana, tunaachana kwa amani na salama, ni tukionana namuomba tena mchezo
mi huwa kama mtu haniridhishi namueleza tukiwa ndani ya uhusiano ili ajirekebishe na nipate kilicho bora.
Tukiachana hamna haja ya kutukanana, tunaachana kwa amani na salama, ni tukionana namuomba tena mchezo
Ulikuwa wapi siku zote kusema kuwa hakufikishi kileleni, au hajui majamboz, au hajui kuoga?
Mmeachana ndio unaanza kuyaongea hayo why??