Nakumbuka siku moja nimekaa na bibi muda wa jioni tunabadilishana mawazo ya hapa na pale,katika zile stori tukaongelea kuhusu kuoa mwanamke na maisha baada ya kuoa ,akasema
"Mjukuu wangu fanya yote kwa mwanamke ila kama hukumridhisha chini, atakudharau sana na hata kusikiliza kamwe
Akaendelea kusema" mwanamke anasikilizia chini,kama utakuwa vizuri huko chini mke wako atakuelewa na kama hapo chini hutakuwa vizuri sahau kamwe hutasikilizwa"
Ila mbona wosia wa bibi hauko sawa, tunapiga kazi lakini mwanamke anadharau na hakusikilizi?
Je bibi alinidanganya?