Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Hahaaaa. Mie sio kwa muhangaiko ule aisee nikajua simu yangu kimeo nacheck MB ninazo kilichobaki nikubadilisha mikao tu mara sitting room mara chumbani mara kibarazani ilimradi tu eti naweza pata network.

Mpaka nakuja kujua kinachoendelea nilijicheka sana aiseee.

Kwa kuwa imesharudi sina budi kusema tugange yajayo.
 
kwa wale member tunaojuana tuliulizana sana haswa kweny magrp huko wsp,tuliangaika kweli
 
Aise nilihisi MB zimekwisha,Nyuzi za gentlemcyn(jinsi anavyotumia FANI katika uandishi tu,nothing serious)
Nilimiss comment za kila mtu maana huwa zinanipa ladha tofauti mathalani kwakuelimisha na kuburudisha
Yaani huwa najisemea jf ni kisima cha burudani. Tulio wengi hata hatufahamiani ila kupitia maandishi yaani tumekuwa familia moja.

Jf idumu kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…