Habari wana Jf,
Nimekua msomaji wa makala mbalimbali humu ila nimekua mchangiaji tu! Leo nakuja kwenu na uzi huu kwa mara ya kwanza naomba mnisaidie jinsi ya kulima ufuta, gharama, faida, hasara, wapi unafaa kulimwa, mauzo yani changamoto zake kwa ujumla.
Asanteni