Ulimbukeni wa vyuo vyetu

economista

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
291
Reaction score
247
Jamani hivi ubora wa chuo unapimwa kwa wanafunzi wengi kudisco au kwa wanafunzi wengi kufanya vizuri? Kama ubora wa chuo ni matokeo ya wanafunzi wengi kudisco then inakuwaje shule za sekondari huwa tunapima ubora wake kwa kuangalia idadi ya wanafunzi waliofanya vizuri lakini inapokuja kwenye kwenye vyuo utakuta watu wakiona chuo kimefelisha wanafunzi wengi ndio hicho chuo huonekana ni bora.
Naomba mtazamo wako pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…