Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Hahahahaha, Tanzania budget deficit is 3%, Kenya is 20%. Hahahahaha
Robot ya sisiem ficha aibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]let's evidence ama uache kulilia[emoji24][emoji480][emoji480][emoji480][emoji480][emoji480][emoji480]
 
Hahahahaha, Tanzania budget deficit is 3%, Kenya is 20%. Hahahahaha
Deficit yetu ni 5.6% down from 6.1 last year,yaani nyi pamoja na kuwa na budget ya madafu bado deficit ni 20%[emoji480][emoji480][emoji480][emoji480][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwanza ni 46%..pesa zenu mingi mnalipa madeni
Yes tunalipa haraka ili tuachane na madeni, ninyi mnakopa ili kujazia deficit na kulipa madeni ya nyuma, kulipa mnalipa kidogo sana, mwisho hiyo nchi itakuwa ni madeni tupu.
 
Deficit yenu ni 607.8B, hahahahaha
Si ndio 5.6% ya bajeti ya Kenya? Hatufanani bwana, donor kantri ina deficit ya zaidi ya 40%! Budget ya Tz ya elimu, afya na usalama(ambazo ufadhili ni misaada kutoka kwa mabwana zenu wazungu) ni sawa na bugdet ya gatuzi la Narok! Hahaha! 😀
 
Si ndio 5.6% ya bajeti ya Kenya? Hatufanani bwana, donor kantri ina deficit ya zaidi ya 40%! Budget ya Tz ya elimu, afya na usalama(ambazo ufadhili ni misaada kutoka kwa mabwana zenu wazungu) ni sawa na bugdet ya gatuzi la Narok! Hahaha! 😀
Hahahahaha, wewe ni mkikuyu wa wapi?, Budget ni 3.1Trl. Deficit ni 607.8B, hiyo ni asilimia ngapi?. Failed state ninyi, hata akili ndogo ya kupiga hesabu huna.
 
Joto la jiwe....TRA ina collwct tsh13 trillion na budget yenu ni tsh33 trillion...duh!!!watu wa pesa za ndani ni noma lwel
 
Joto la jiwe....TRA ina collwct tsh13 trillion na budget yenu ni tsh33 trillion...duh!!!watu wa pesa za ndani ni noma lwel
Mumeshaanza kukopa ili kupata pesa kwa ajili ya bajeti iliyo juu ya uwezo wenu. Nature of Tanzania is to serve, Nature of Kenya is to spend". Hahahahaha
 
Mumeshaanza kukopa ili kupata pesa kwa ajili ya bajeti iliyo juu ya uwezo wenu. Nature of Tanzania is to serve, Nature of Kenya is to spend". Hahahahaha
Umekielewa kwanza nilichokiandika..au leo jiwe ana wa monitor na remote zake...bwahahaa..tsh20 trillion mtazitoa wwpi...bwahaa...jamani watu wa pesa za ndani
 
La ajabu zaidi kuna wabongo wanawaona wakenya wamefanya la maana wakati wote ndio wale wale tu wa kuendesha nchi zao kwa kutegemea wajomba(wahisani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…