Ulimi. . . . .

Ulimi. . . . .

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Sote tunajua kazi ya ulimi wakati wa kula chakula,bila ulimi huwezi kutafuna,bila ya ulimi huwezi kusikia ladha.Lakini kwenye uhusiano ulimi nao unahusika kwenye kuuimarisha uhusiano au kuuvunja.Ndo maana unasikia chunga ulimi wako!Lakini ulimi pia husaka na kunogesha UTAMU wa uhusiano,Je wajua namna ya kuutumia?Kama hujui pole sana unakosa mengi.Hebu watafute wajuzi!
 
Ulimi una sifa tatu.

Ukiwa unaongea maneno mazuri utakupeleka kwenye sehemu nzuri.

Ukiwa unautumia kwa maneno mabaya utakupeleka kwenye sehmu mbaya.

Ukiwa haujautumia kabisa ni bora kwako, mana wengine hawaujui thamani yake wasije kutumia kwenye sehemu zisizo tumika :biggrin:
 
ulimi unaweza kujenga kwa kuongea lugha ya stahana tamu kwa mwenza wako......

Ulimi pia unaweza tumika katika tendo la ndoa baina ya wenzi, tena una matumizi mengi sana sekta hii.......

Usiku mwema.
 
Last edited by a moderator:
Ulimi ni kiungo kido lakin matatizo yake ni makubwa sana. so inahitajika kujua matumizi yake katika kila ufanyacho. Ulimi kwa wawili hutakiwa kutumika vyema ili kuamsha hisia za mapenzi kati ya wapendanao. utumike kutamka maneno mazuri yenye mvuto wa kimahaba, tena yenye kuleta amani na upendo na furaha kati yenu kuliko kuleta hasira,mafarakano jeuri na kiburi.

katika 6*6 ulimi utumike kama kiungo cha kuleta raha. Hapa kinatumika mithili ya mtu anawezavyo kutumia kiungo chchote kingine.
 
hehehehe...nyama ya ulimi siyo!?...huwapagawisha wengi sana.



 
Last edited by a moderator:
Nimekumbuka wimbo 'huyo mgonjwa anaumwa, anataka nyama ya ulimi eeh', sijui ulikuwa wa rtd ama kuna kajamaa kalikuwa kananiimbisha? Hata sikumbuki, BAK plz help!
 
Last edited by a moderator:
Nimekumbuka wimbo 'huyo mgonjwa anaumwa, anataka nyama ya ulimi eeh', sijui ulikuwa wa rtd ama kuna kajamaa kalikuwa kananiimbisha? Hata sikumbuki, BAK plz help!


Mhhhh! King'asti wimbo huu hata mie umenipiga chenga.

 
Last edited by a moderator:
Strangely nakumbuka only that line, nothing else! Mmmh, labda yule sweetheart wangu tuliesoma nae chekechea alikuwaga ananiimbia as we held hands tukienda skuli kunywa uji...
Mhhhh! King'asti wimbo huu hata mie umenipiga chenga.

 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Strangely nakumbuka only that line, nothing else! Mmmh, labda yule sweetheart wangu tuliesoma nae chekechea alikuwaga ananiimbia as we held hands tukienda skuli kunywa uji...


Mhhhh! Best.... I reserve my comments 🙂🙂
 
Ulimi ni kiungo kido lakin matatizo yake ni makubwa sana. so inahitajika kujua matumizi yake katika kila ufanyacho. Ulimi kwa wawili hutakiwa kutumika vyema ili kuamsha hisia za mapenzi kati ya wapendanao. utumike kutamka maneno mazuri yenye mvuto wa kimahaba, tena yenye kuleta amani na upendo na furaha kati yenu kuliko kuleta hasira,mafarakano jeuri na kiburi.

katika 6*6 ulimi utumike kama kiungo cha kuleta raha. Hapa kinatumika mithili ya mtu anawezavyo kutumia kiungo chchote kingine.

Wataalam wa sayansi ya tiba wanasema matumizi ya ulimi ni kuonja, kusogeza chakula kooni, kuumba maneno, n.k. Kwa wanyama wasio na akili (wala kinyaa) mfano mbwa hulamba hata sehemu zao chafu za siri ili kuzisafisa kwa sababu watumia instinct. Ukitemea mate chakula binadamu atashindwa kula, au mkojo ukidondokea kwenye msosi hauliki coz ana akili and hence kinyaa.
 
. Ukitemea mate chakula binadamu atashindwa kula, au mkojo ukidondokea kwenye msosi hauliki coz ana akili and hence kinyaa.

it looks like kula denda au kuzuru uvinza ni mpaka mtu acharazwe viboko hapa ...
 
Wataalam wa sayansi ya tiba wanasema matumizi ya ulimi ni kuonja, kusogeza chakula kooni, kuumba maneno, n.k. Kwa wanyama wasio na akili (wala kinyaa) mfano mbwa hulamba hata sehemu zao chafu za siri ili kuzisafisa kwa sababu watumia instinct. Ukitemea mate chakula binadamu atashindwa kula, au mkojo ukidondokea kwenye msosi hauliki coz ana akili and hence kinyaa.

Unaposema sehemu zao chafu za siri unamaanisha nini?
 
Kumbe jamaa ana sehemu ya siri chafu=gono la mdomo,utachubuka na kuwa mwekundu ka mnya gongo,usisubutu kukutwa.
Unaposema sehemu zao chafu za siri unamaanisha nini?
 
Gaspery lasway,uchafu ni private matter,sio kila mmoja ni mchafu.Huwezi kusema eti kwa sababu kuna watu wasiopiga mswaki basi watu wasibusiane!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom