kuna demu wangu alinikubalie et kisa nilimwambia mama yangu mzazi amefariki, akawa anataka niwe namuita jina la mama yangu.
huyu nilimpata somewhere in hii dunia.
In real life unaeza kuta ukinywa Malta mbili unalewa ila huku unajiiita mlevi na una act kileviChildhood friend tulikuwa wote and I miss her
Nowadays npo na pombe ila mabaharia alietengeneza pombe sifa ziende kwake aisee
Yeah yote yanawezekanaIn real life unaeza kuta ukinywa Malta mbili unalewa ila huku unajiiita mlevi na una act kilevi