Ulimwengu wa FTA Satellite TVs


Tafuta ungo kuanzia 3ft hadi 8ft kupata sats kama amos5 w16c, yahsat nilesat 201 eutelsat 7wa etc. Kazi ni kwako.
 
Naomba freequcy za tbc,itv,startv kwenye dish 90cm
 
Jaman je sis wenye receiver za mpeg 2 tunawezaje kupata chanels hata 10 tu za sports?Hebu tusaidien jaman?
 
12275 H 11200 ila receiver lazima iwe mpeg 4.
 
Jaman je sis wenye receiver za mpeg 2 tunawezaje kupata chanels hata 10 tu za sports?Hebu tusaidien jaman?

hakuna jinsi hameni huko. Kwa yule anayetaka nauza strong srt 4922A mpeg4 hd tsh 250000.
 
hallow hizo fripuency ya 3893 na 3072 kwa chanel gan? na dish fut ngapi? receiver aina gan?
 
Mimi nimetesti kwangu bilabila nina strong 462 mpeg2 hakuna cha tbc wala tv ya taifa ktk fut 6. ila asante mkuu
 
Jaman je sis wenye receiver za mpeg 2 tunawezaje kupata chanels hata 10 tu za sports?Hebu tusaidien jaman?

Receiver za mpeg 2 zimeshapitwa na wakati kaka ndio muda muafaka ku upgrade receiver kwenda kweny mpeg 4 hd sasa hivi ukitaka maviyuz
 
tomorrow epl match
14:00liverpool vs stoke live on rdv 17E
 
arsenal vs vila live on Atn, mbc3 at w4.
 
Mimi naipata Tbc kwa dish la futi 6 lakini star tv siipati hapa Nampula Mozambique

startv na tbc signal zao zipo chini sana kwa hiyo kwa dish la ft6 unaweza kubahatisha mojawapo kati ya hizo lkn bado si stable sana
 
msaada lnbf ku 68.5 nyuz swali ni chanel gani? nitazipata niki2mia mpeg4 au dongle sehemu hii ninapopat picha za kisouth
 
Real Madrid vs Betis live bila chenga kwenye Arabsat 2c kwenye Irrib Varzesh pamoja na Juventus vs Lazio Irriv tv 3 live bila chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…