Charles kikoti
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 461
- 120
Kwangu naona inakuwa ngumu kupata kwani wewe uko mkoa gani.?astra
Shukrani sana kaka ila bahati mbaya receiver yangu ni Wiztech 999 nadhani haisapoti hiyo kitu.
Pia kwa wapenzi wa soccer ipo pia tv3 ya Ghana inaonyesha soccer na sports news hawa tofauti na irib wao ni english matangazo yao ipo scrambled lkn una unscramble kiaina km umefunga irib unaweza kuongeza lnb ya ku kuwapata hawa mult tv wanazo jumla ya channels km 28 nzuri tu satellite ni Astra 28Β°E frq tumia 12525H27041
astra inafika tz tazama beam yao hapa
Mkuu umeeleza vizuri sana ila kuhusu receiver ya ontinental hiyo ni nzuri zaidi ya ile ya azam maana ina option mbili ya antena ya kawaida na unaweza kuweka satellite dish. Ina option ya Manual scan hadi blind search ambayo ktk Azam hamna, kitu ambacho bado sijajua kama kipo ni bias key editing kama itakuwepo hii decoder itakua ni noma saana.ku_ADD Satellite: hiyo ndiyo point kuu inayoipambisha azam tv, hiyo option hakuna kwenye zuku,startimes,digitek,wala continental..maana kama ni mpeg 4 HD hata continental na zuku wanayo,kuongeza satellite ndo silaha tosha ya azam ikitokea ukazichoka channel za satelite yao au kama hutapenda kulipia chanel zao bas unaingiza frequence za sat nyingine na kugeuza dish unacheka na Free To Air tu. so hapo unaweza kuadd SES 5,UTELSAT,AMOS 5 etc na fta unazipata zote.. kibongobongo nakushauri uchukue hiyo au Strong decorder na uachane na uchafu mwingine wa decorders hapa town. mfano mi nacheza na Diseq switch pamoja na lnb ya KU na Cband kwenye dish moja.. siku nikiskia mabepari wameachia FTA bas fasta naitafuta sat mpya natega dish mchezo kwisha
Ambaye anauzoefu nayo angetupa maelezo zaidi.Mkuu umeeleza vizuri sana ila kuhusu receiver ya ontinental hiyo ni nzuri zaidi ya ile ya azam maana ina option mbili ya antena ya kawaida na unaweza kuweka satellite dish. Ina option ya Manual scan hadi blind search ambayo ktk Azam hamna, kitu ambacho bado sijajua kama kipo ni bias key editing kama itakuwepo hii decoder itakua ni noma saana.
Ambaye anauzoefu nayo angetupa maelezo zaidi.
Hii kitu shusha dish lako chini kabisa fanya settings zako zikisha kuwa poa basi lipandishe itakuwa rahisi kulokoni kulisetia juu.ππ Nimechemka kuipata Astra2f@28Β°e na ndio nashuka juu ya bati kutoka muda ule .Ila natoa shukurani kwa Dkashombo bila kusau Chales mchango wenu ulikuwa:thumbup::thumbup:Ila nmeshindwa kupata Astra
Tv3 Ghana wao ni Enhlish tu kwa kwenda mbelehilo ndo mpango mzima tatizo lugha tu
Mi niliamua kushusha dish ilinilahisishe kuseti fanya hivo mi nmetumia muda wa dakika zisizozidi 5 kuipata labda kuifunga ndonimesumbuka kidogo signal ipo 85% usikate tamaa.ππ Nimechemka kuipata Astra2f@28Β°e na ndio nashuka juu ya bati kutoka muda ule .Ila natoa shukurani kwa Dkashombo bila kusau Chales mchango wenu ulikuwa:thumbup::thumbup:Ila nmeshindwa kupata Astra
ππ Nimechemka kuipata Astra2f@28Β°e na ndio nashuka juu ya bati kutoka muda ule .Ila natoa shukurani kwa Dkashombo bila kusau Chales mchango wenu ulikuwa:thumbup::thumbup:Ila nmeshindwa kupata Astra
Shukrani sana kaka ila bahati mbaya receiver yangu ni Wiztech 999 nadhani haisapoti hiyo kitu.
wiztech 999 mkuu usiwe na wasiwasi inao uwezo wa kuedit biss key
Inakuaje kak unaedit vip?
ngoja kukuche nitakuelekeza nikiwa nimewasha tv.nikisahau utapm mkuu
Hii kitu shusha dish lako chini kabisa fanya settings zako zikisha kuwa poa basi lipandishe itakuwa rahisi kulokoni kulisetia juu.