Jamani wakuu star tv na tbc zmekua ngumu sana kuzipata nifanyaje niweze kuzipata natumia media com mpeg2 na dish la ft 6
Nunua mpg4
Inamana star tv na tbc mpaka uwe na mpg4.
Mpeg2 wameondoka kwani??Nunua mpg4
Mkuu star tv na tbc zinanizingua sana kuzipata tatizo sjui ni nini.itv na wenzie nawapata vizuri pamoja na tv mozambiqueMpg2 wameondoka channel 10
Ok shukrani ngoja nihangaike nalo tenaKwel ila wapo hewan mi nazipata zote jarbu kuliset dish ila zpo tu hewan
Ok shukrani ngoja nihangaike nalo tena
msaada wa kupata channel za kenya ktk sat ya 57.0e ku nss 12 naomba na tp za kutafutia
Za Kenya hazipo 57.0 tumia freq hii 11058 V 29995. Kama ulisha ipata intele 7/10@ 68.5°e kwa freq 12722 H 26655 Emmanuel tv nyuma ya chanel za Tanzania.
Emmanuel tv naipata full na za hapo full nimeweka hzo freq lkn haifunguki.
Sogeza K-U ukiwa mbele ya dish kusho kama cm 1utaunganisha zote za emmanuel na za kenya.
Ku ni hii moja tu ila niiweke mbele kidogo yaan nifanye kama nazibalance hv sijui nimekuelewa vyema.
Yaa hiohio ku moja emmanuel unapata signal ngapi?