Ulinzi wa Data: Wakusanya taarifa wengi hawana namna nzuri ya kuzitunza

Ulinzi wa Data: Wakusanya taarifa wengi hawana namna nzuri ya kuzitunza

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Wakati mwingine Taarifa hukusanywa kwa nia njema, lakini Changamoto ni kwamba wengi hawana namna ya kuzitunza

Kwa mfano, mara nyingi unatakiwa kusaini kabla ya kuingia Ofisi mbalimbali. Je, taarifa zako zinahifadhiwa wapi?

Kuwepo Sheria ya Ulinzi Wa Data kutasaidia kufahamu taarifa zinahifadhiwa na nani, na usalama wake upoje

1643281774628.png
 
Back
Top Bottom