kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Hii ilikuwa ni partnership tishio na hatari zaidi kwa washambuliaji wengi.
Ilikuwa ni nadra kwa mechi ya Real Madrid kuisha bila red card kwa mmoja kati ya hawa walinzi.
Mhanga mkubwa wa partnership hii alikua ni LIONEL MESSI, siku nikibahatika kukutana nae nitamuuliza ni kipi kilikuwa kichwani mwake akijua kuna game na hawa jamaa.
Wachezaji mlenda mlenda kama wa zile (timu za Kariakoo) walikuwa hawawezi kufurukuta mbele ya hawa jamaa.
Tupia unachokikumbuka kuhusiana na Hawa jamaa.
Ilikuwa ni nadra kwa mechi ya Real Madrid kuisha bila red card kwa mmoja kati ya hawa walinzi.
Mhanga mkubwa wa partnership hii alikua ni LIONEL MESSI, siku nikibahatika kukutana nae nitamuuliza ni kipi kilikuwa kichwani mwake akijua kuna game na hawa jamaa.
Wachezaji mlenda mlenda kama wa zile (timu za Kariakoo) walikuwa hawawezi kufurukuta mbele ya hawa jamaa.
Tupia unachokikumbuka kuhusiana na Hawa jamaa.