kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Nakumbuka vizuriHawana lolote zaidi ya kucheza rafu kwa watu ambao wanawadharau,ushawahi kuona mechi walizokutana either wamkabe Ibrahimovic au Diego Costa? Hao majamaa hawana huruma wana rafu za chini chini kuna mechi Ramos alikuta a na Diego Costa kidogo ateme ulimi, anamfanyia rafu diego costa ila kwenye hiyo hiyo diego costa anapita naye mara kamkanyaga kichwa kama bahati mbaya na refa anapeta ,Ramos aliiva kweli.
Franco Baresi & Paolo Maldini ilikuwa bonge la patnership lakini kama hukufanikiwa kuwaona kuna miaka ya karibuni kuna John Terry & Ricardo Calvalho waliruhusu goli 15 tu msimu mzima wa EPL huku wakiwa na clean sheet 24 kwa msimu huo kwenye EPL tu...rekodi inayosimama mpaka leoHii ilikuwa ni partnership tishio na hatari zaidi kwa washambuliaji wengi.
Ilikuwa ni nadra kwa mechi ya Real Madrid kuisha bila red card kwa mmoja kati ya hawa walinzi.
Mhanga mkubwa wa partnership hii alikua ni LIONEL MESSI, siku nikibahatika kukutana nae nitamuuliza ni kipi kilikuwa kichwani mwake akijua kuna game na hawa jamaa.
Wachezaji mlenda mlenda kama wa zile (timu za Kariakoo) walikuwa hawawezi kufurukuta mbele ya hawa jamaa.
Tupia unachokikumbuka kuhusiana na Hawa jamaa.
E bhana kinyundo penye mshono [emoji375][emoji13]Franco Baresi & Paolo Maldini ilikuwa bonge la patnership lakini kama hukufanikiwa kuwaona kuna miaka ya karibuni kuna John Terry & Ricardo Calvalho waliruhusu goli 15 tu msimu mzima wa EPL huku wakiwa na clean sheet 24 kwa msimu huo kwenye EPL tu
Hahahahahaaaa,Aisee umenikumbusha hii mechi mpaka Ramos alikuwa mpoleHawana lolote zaidi ya kucheza rafu kwa watu ambao wanawadharau,ushawahi kuona mechi walizokutana either wamkabe Ibrahimovic au Diego Costa? Hao majamaa hawana huruma wana rafu za chini chini kuna mechi Ramos alikuta a na Diego Costa kidogo ateme ulimi, anamfanyia rafu diego costa ila kwenye hiyo hiyo diego costa anapita naye mara kamkanyaga kichwa kama bahati mbaya na refa anapeta ,Ramos aliiva kweli.
Ramos alitia huruma.Hahahahahaaaa,Aisee umenikumbusha hii mechi mpaka Ramos alikuwa mpole
Unaelewa matumizi sahihi ya "VS" mkuu?Maldini vs nesta
Terry vs calvaiho
Vidic vs Fred and
Stam vs Blanc
Cordoba vs marterazzi
Canavaro vs tarchnand
Yondani vs nyoso
Masatu vs magoso
Kimanda vs aswile
Kanishangaza ingawa nimemuelewaUnaelewa matumizi sahihi ya "VS" mkuu?
Patrick Viera na Roy Keane shughuli ilikua ni pevu sana.Maldini vs nesta
Terry vs calvaiho
Vidic vs Fred and
Stam vs Blanc
Cordoba vs marterazzi
Canavaro vs tarchnand
Yondani vs nyoso
Masatu vs magoso
Kimanda vs aswile
Sasa wewe ndio ilibidi utumie VS ila sio uliyemquotePatrick Viera na Roy Keane shughuli ilikua ni pevu sana.
angalia vizuri mkuu mimi sijakosoa mtu kwenye uzi huu!Sasa wewe ndio ilibidi utumie VS ila sio uliyemquote
Hapo wakiongea kama marafiki wakati mmoja wao ametoka kukanyagwa 😁😁Hawana lolote zaidi ya kucheza rafu kwa watu ambao wanawadharau,ushawahi kuona mechi walizokutana either wamkabe Ibrahimovic au Diego Costa? Hao majamaa hawana huruma wana rafu za chini chini kuna mechi Ramos alikuta a na Diego Costa kidogo ateme ulimi, anamfanyia rafu diego costa ila kwenye hiyo hiyo diego costa anapita naye mara kamkanyaga kichwa kama bahati mbaya na refa anapeta ,Ramos aliiva kweli.
Hawana lolote zaidi ya kucheza rafu kwa watu ambao wanawadharau,ushawahi kuona mechi walizokutana either wamkabe Ibrahimovic au Diego Costa? Hao majamaa hawana huruma wana rafu za chini chini kuna mechi Ramos alikuta a na Diego Costa kidogo ateme ulimi, anamfanyia rafu diego costa ila kwenye hiyo hiyo diego costa anapita naye mara kamkanyaga kichwa kama bahati mbaya na refa anapeta ,Ramos aliiva kweli.
[emoji3]Hapo wakiongea kama marafiki wakati mmoja wao ametoka kukanyagwa [emoji16][emoji16]View attachment 2272069
Hii ilikuwa ni partnership tishio na hatari zaidi kwa washambuliaji wengi.
Ilikuwa ni nadra kwa mechi ya Real Madrid kuisha bila red card kwa mmoja kati ya hawa walinzi.
Mhanga mkubwa wa partnership hii alikua ni LIONEL MESSI, siku nikibahatika kukutana nae nitamuuliza ni kipi kilikuwa kichwani mwake akijua kuna game na hawa jamaa.
Wachezaji mlenda mlenda kama wa zile (timu za Kariakoo) walikuwa hawawezi kufurukuta mbele ya hawa jamaa.
Tupia unachokikumbuka kuhusiana na Hawa jamaa.
Maldini vs nesta
Terry vs calvaiho
Vidic vs Fred and
Stam vs Blanc
Cordoba vs marterazzi
Canavaro vs tarchnand
Yondani vs nyoso
Masatu vs magoso
Kimanda vs aswile