Yohana Wanyange
Member
- Jul 2, 2015
- 18
- 6
Wapo wengine wanafuata mkumbo tuu... lakin tabia hii ya kuwakimbia maogisa wa TRA ni ushamba... jambo la muhimu ni kuweka mambo yako sawasawa kulipa kodi hapo inakuwa pouwa na wala hautakimbia tena na tena....
Wapo wengine wanafuata mkumbo tuu... lakin tabia hii ya kuwakimbia maogisa wa TRA ni ushamba... jambo la muhimu ni kuweka mambo yako sawasawa kulipa kodi hapo inakuwa pouwa na wala hautakimbia tena na tena....