Ulipataje wateja wako 100 wa kwanza wa Biashara yako?

Ulipataje wateja wako 100 wa kwanza wa Biashara yako?

Mtangoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
6,167
Reaction score
5,613
Uzi huu ni kwa ajili ya wale wenye biashara zenye Wateja 100 au zaidi. Ni kwa ajili ya kujifunza tu wala si vinginevyo. Ulitumia mbinu gani kupata wateja 100 wa kwanza?

Changamoto gani ulikutana nazo?
Kama hutajali unaweza kutuambia ni biashara gani ulifanya au unafanya.

Mimi kwa sasa nabaki msomaji tu!
 
Nilifungua tu ofisi nkakaa hapo wakawa wanapita kuulizia baadae wakaanza kuja kununua.

Samahani mkuu hilo jina lako una undugu na Prof Mtango?
 
Back
Top Bottom