Kazi kwelikweliπNipo mqkao makuu ya tanesco apa hakuna umeme
Wacha waisome nambaa eeee[emoji23]
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.
Je ulipo wewe umeme upo?
Sawasawa ππ.. vipi lakini huko usharudi au ndo tuendelee kusubiri πAhsantreeeeeeee!!! Jipigie makofi jirani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazo zuri mkuu.
DUBAI ELECTRIFICATION COMPANY,Acha ufala we ni msemaji wa tanesco watu wanakosa biashara unakuja na neno ''kama" kuna vitu vingine ongeeni kama watu sio chawa, unaleta hasira sana