Ulipokuwa mdogo ulitamani kuwa mkubwa, ni nini kilikuvutia kuwa mkubwa?

Sio siri Mimi sikutamani kabisa kuwa mkubwa maana kuna kasauti kalikuwa kanakuja kichwani kananiambia "don't grow up its the trap" kanasema "usikue ni mtego"

But papuchi ilikuwa inakinzana na wazo langu hapo juu. Maana ili ugegede kwa Uhuru lazma ukue.
 
Ulipokuwa mdogo ulitaman Kuwa mkubwa, niambie ni nn kilikuvutia mpka utaman ukubwa je leo hii hujuti kuwa mkubwa!?? I tiririka hapa tuone ni wangani na akina nani walikuwa wanamawazo yanayofanana[emoji16][emoji16]


Nilitamani kukuwa ili niwe nachapa mademu tofauti tofauti kila siku na sijutii kurudi nyuma, nina enjoy ile mbaya ila nachukia tu wanaponiganda, yaani wanakuwa wagumu kusoma alama za nyakati.
 
Nilipokuwa mdogo kama darasa la kwanza hv Pwani Shule ya msngi nilijiapiza sitasoma zaidi ya darasa la pili nilikuwa naogopa kusoma vibaya mnoooo. Nilikuwa nadhani nitashindwa kusoma ila ajabu mpaka nikamaliza fresh tuu nikikumbuka nacheka saaana.[emoji3][emoji3]
Pia nilikua nataka niwe mkubwa ili nimalize shule tuu nikae nyumbani nilikuwa nawaonea wivu saaana watu wakibaki nyumbn mm naenda shule. Darasa la saba nilikuwa natega sana shule!![emoji3][emoji3][emoji3] ila sasa nikamaliza shule nipo mtaani nilitamani nirudi hata shule nikafagie tuu madarasa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…