ulipopata mimba.........

ulipopata mimba.........

majogajo

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2011
Posts
317
Reaction score
44
akina dada uliweza kumwambiaje mama au baba ako kuwa unamimba wakati bado upo nyumbani? na makaka mliwaambiaje nyumbani kuwa kunabinti anamimba yako? je mlianza kumwambia baba au mama? na ulisemaje?
 
akina dada uliweza kumwambiaje mama au baba ako kuwa unamimba wakati bado upo nyumbani? na makaka mliwaambiaje nyumbani kuwa kunabinti anamimba yako? je mlianza kumwambia baba au mama? na ulisemaje?

Tunapenda kuwaonea akina dada! Kwani weww ukimpa mimba mtoto wa mtu unafanyaje?
 
Back
Top Bottom