"Napendekeza yeyote aliyeko kwenye nafasi ya kuteuliwa, akitolewa lakini akabaki kwenye utumishi wa umma, arejee pia kwenye mshahara aliokuwa analipwa kabla ya kuteuliwa, hii itawapunguzia mzigo watanzania".Waziri Nchemba.
Chanzo: ITV Tanzania
Yaani kuna muda huwa hata navidharau na hivi Vyuo Vikuu vinavyotoa hizi 'Doctorates' kwa Watu wa hovyo hovyo hivi.