Ulishawahi kufikiria kukiri dhambi kwa uliyofanya kwa kila mmoja kwa kumwambia?

Ulishawahi kufikiria kukiri dhambi kwa uliyofanya kwa kila mmoja kwa kumwambia?

Mtanzatozo

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
971
Reaction score
1,165
habari wandugu namshukuru mungu kwa afya njema yenye furaha, naomba ku share mawazo nanyi ikiwa kama sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Mimi naamini kila binadamu ni mkosefu kwa namna yake, na naamini yapo makosa ya kila siku ambayo tunayatenda asilimia kubwa kwa kila binadamu.

Natamani sana siku nipate nguvu ya kuacha dhambi zangu na kumuomba radhi kila mtu niliyemtenda iwe kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Kama na wewe unaamini mkosefu na una imani ipo siku kinywa chako kitatamka makosa yako iwe ulifanya DHULMA, ULINYANYASA, ULIIBA na dhambi nyinginezo bila kusita.

UKUMBUSHO NI KWA WALIOAMINI, WEKA NAFSI YAKO HURU KABLA YA KUPATWA NA UMAUTI
 
habari wandugu namshukuru mungu kwa afya njema yenye furaha, naomba ku share mawazo nanyi ikiwa kama sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Mimi naamini kila binadamu ni mkosefu kwa namna yake, na naamini yapo makosa ya kila siku ambayo tunayatenda asilimia kubwa kwa kila binadamu.

Natamani sana siku nipate nguvu ya kuacha dhambi zangu na kumuomba radhi kila mtu niliyemtenda iwe kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Kama na wewe unaamini mkosefu na una imani ipo siku kinywa chako kitatamka makosa yako iwe ulifanya DHULMA, ULINYANYASA, ULIIBA na dhambi nyinginezo bila kusita.

UKUMBUSHO NI KWA WALIOAMINI, WEKA NAFSI YAKO HURU KABLA YA KUPATWA NA UMAUTI
Hizo dhambi unazikili kwa kwa nani?
 
Kuna dhambi kati ya mtu na mtu na Mtu na Mungu,Dhambi ya kukiri kirahisi ni Ile uliyomkosea Mungu maana ya mwanadamu mpk akusamehe ndo Mungu akusamehe
 
habari wandugu namshukuru mungu kwa afya njema yenye furaha, naomba ku share mawazo nanyi ikiwa kama sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Mimi naamini kila binadamu ni mkosefu kwa namna yake, na naamini yapo makosa ya kila siku ambayo tunayatenda asilimia kubwa kwa kila binadamu.

Natamani sana siku nipate nguvu ya kuacha dhambi zangu na kumuomba radhi kila mtu niliyemtenda iwe kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Kama na wewe unaamini mkosefu na una imani ipo siku kinywa chako kitatamka makosa yako iwe ulifanya DHULMA, ULINYANYASA, ULIIBA na dhambi nyinginezo bila kusita.

UKUMBUSHO NI KWA WALIOAMINI, WEKA NAFSI YAKO HURU KABLA YA KUPATWA NA UMAUTI
Dhambi zangu ni Mimi na Mungu. Sina tabia ya kuiba, kudhulumu au kunyanyasa yeyote.
 
habari wandugu namshukuru mungu kwa afya njema yenye furaha, naomba ku share mawazo nanyi ikiwa kama sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Mimi naamini kila binadamu ni mkosefu kwa namna yake, na naamini yapo makosa ya kila siku ambayo tunayatenda asilimia kubwa kwa kila binadamu.

Natamani sana siku nipate nguvu ya kuacha dhambi zangu na kumuomba radhi kila mtu niliyemtenda iwe kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Kama na wewe unaamini mkosefu na una imani ipo siku kinywa chako kitatamka makosa yako iwe ulifanya DHULMA, ULINYANYASA, ULIIBA na dhambi nyinginezo bila kusita.

UKUMBUSHO NI KWA WALIOAMINI, WEKA NAFSI YAKO HURU KABLA YA KUPATWA NA UMAUTI
Hii ndio toba bora kuliko zote
 
habari wandugu namshukuru mungu kwa afya njema yenye furaha, naomba ku share mawazo nanyi ikiwa kama sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Mimi naamini kila binadamu ni mkosefu kwa namna yake, na naamini yapo makosa ya kila siku ambayo tunayatenda asilimia kubwa kwa kila binadamu.

Natamani sana siku nipate nguvu ya kuacha dhambi zangu na kumuomba radhi kila mtu niliyemtenda iwe kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Kama na wewe unaamini mkosefu na una imani ipo siku kinywa chako kitatamka makosa yako iwe ulifanya DHULMA, ULINYANYASA, ULIIBA na dhambi nyinginezo bila kusita.

UKUMBUSHO NI KWA WALIOAMINI, WEKA NAFSI YAKO HURU KABLA YA KUPATWA NA UMAUTI
Hiyo tamaa iliyo ndani yako ni faraja mbele za Mungu. Kuna Padre mmoja nilikuwa nafatilia mahubiri yake youtube, anasema baba mwenye mtoto hupata faraja anapoona mwanae anavyopambana kujifunza kuliko jinsi anavyokosea!

Hivyo faraja ya Mungu sio tu kuona kwa mfano hutamani mwanamke asiye wako maana kama ni mrembo kibinadamu kuna hisia zitakuijia ila jinsi unavyopambana kuishinda tamaa!

Hivyo kiu ya kutenda linalofaa ni tunda jema, nakuombea utende hilo unalotamani.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
habari wandugu namshukuru mungu kwa afya njema yenye furaha, naomba ku share mawazo nanyi ikiwa kama sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Mimi naamini kila binadamu ni mkosefu kwa namna yake, na naamini yapo makosa ya kila siku ambayo tunayatenda asilimia kubwa kwa kila binadamu.

Natamani sana siku nipate nguvu ya kuacha dhambi zangu na kumuomba radhi kila mtu niliyemtenda iwe kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Kama na wewe unaamini mkosefu na una imani ipo siku kinywa chako kitatamka makosa yako iwe ulifanya DHULMA, ULINYANYASA, ULIIBA na dhambi nyinginezo bila kusita.

UKUMBUSHO NI KWA WALIOAMINI, WEKA NAFSI YAKO HURU KABLA YA KUPATWA NA UMAUTI
Kichwa cha habari kizuri ila ulicho kiweka ndani hata sijaelewa kusudi lako
 
Back
Top Bottom