Ulishawahi kuitwa/Kuhisiwa Spy wa walimu Kipindi unasoma

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Kuna haka katabia Shuleni/vyuoni ka kuhisiana maspy/wapelelezi wa walimu Sijui wanafunzi wanatumiaga vigezo gani kuita wenzao Maspy wa walimu unaweza kuchukiwa na shule nzima au hata kutengwa kabisa kisa wanakuhisi spy.

Nakumbuka Skuli moja tukisoma Wanafunzi wa mbele yetu wakawa wanatuhisi sisi ni maspy wa walimu ati tunawaambia walimu mambo yao aisee walituletea shida na kupiga wanafunzi wenzetu wengi tu.

Je wewe umewahi kuitwa/kuhisiwa Spy katika harakati zako za kutafuta Elimu??
 
Daah ukiona hivo ujue kweli ulikuwa m'mbeya m'mbeya hata hueleweki. Ni ngumu sana kama upo fresh na wana kuhisiwa hivi. Ingawa maspy walikuwa wanalipwa buku 5 wakiripoti kwa walimu. Kishuleshule ilikuwa kubwa sana.
 
Daah ukiona hivo ujue kweli ulikuwa m'mbeya m'mbeya hata hueleweki. Ni ngumu sana kama upo fresh na wana kuhisiwa hivi. Ingawa maspy walikuwa wanalipwa buku 5 wakiripoti kwa walimu. Kishuleshule ilikuwa kubwa sana.
aisee hakuna kuna watu wengine walikua peace sana ila baadhi ya watu wanaamua kukuchafua tu ni sawa unaitwa Mchawi wakati hata huo uchawi hujui.
 
Mimi nilikua napendwa sana na walimu!
Mrembo
Nina akili
Msafi
Hivyo nilikua karibu sana na walimu, wenzangu wakawa wananihisi spy ila jeuri ya kunitenga hawakua nayo maana nilikua pedeshee wa darasa
 
Mimi nilikua napendwa sana na walimu!
Mrembo
Nina akili
Msafi
Hivyo nilikua karibu sana na walimu, wenzangu wakawa wananihisi spy ila jeuri ya kunitenga hawakua nayo maana nilikua pedeshee wa darasa
Akili zako mbona mm cizionagi
 
Muulize Dada juliana
 
Enzi hizo shule ya msingi ukigundulika tu wewe ni Spy tunakuROMA tu siku ya kufunga shule halafu urudi uje useme tena uone...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…